@duarceyy: Aras/layla💚💚#duarcey #foryou #foryoupage #tiktok #fyp

᭄Duarcey
᭄Duarcey
Open In TikTok:
Region: IQ
Tuesday 30 June 2026 16:27:06 GMT
44815
4898
6
414

Music

Download

Comments

ali.7ussein4
c.r.7 :
❤️❤️❤️
2026-07-03 11:49:43
1
mario.phillips63
sewan :
❤️❤️❤️
2026-07-02 20:45:53
4
mashaalla.01
💀 𝑎𝑦𝑎𝑟➠01 ⚡ :
❤️❤️❤️
2026-07-03 17:24:08
1
saed_taha232
SA3ED🐆83 :
❤️🥰
2026-07-03 10:36:44
2
To see more videos from user @duarceyy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Necto Kitiga, ametangaza kuunga mkono maandamano yanayotarajiwa kufanyika Julai 7, 2026, huku akisema vijana wa CHADEMA wataungana na waandamanaji hao katika kudai haki kwa Tundu Lissu. Kitiga alitoa kauli hiyo Juni 23, 2026, wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Stendi ya Kabwe, Jijini Mbeya. Katika hotuba yake, alisema BAVICHA imepokea taarifa za maandamano hayo na imeamua kutoa uungwaji mkono kwa wananchi watakaoshiriki, akisisitiza kuwa pamoja na madai yao ya msingi, suala la haki kwa Tundu Lissu litakuwa sehemu ya ajenda watakayoibeba. “Nimesikia tarehe 7 Julai 2026 mnakwenda barabarani kudai madai yenu ya msingi, sisi vijana wa CHADEMA tunawapeni baraka, nendeni, nasi tunaungana na nyie kudai haki ya Tundu Lissu,” alisema Kitiga. Kauli hiyo imekuja wakati maandalizi ya maandamano hayo yakiripotiwa kuendelea katika maeneo mbalimbali, huku makundi tofauti ya wananchi yakieleza misimamo yao kuhusu tukio hilo. BAVICHA, ambayo ni Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imesema itaendelea kusimamia masuala ya haki, demokrasia na utawala wa sheria nchini. Kupitia tamko hilo, viongozi wa baraza hilo wameonyesha utayari wa kushiriki katika harakati za kudai kile wanachokieleza kuwa haki na usawa kwa wananchi wote, ikiwemo suala la Tundu Lissu. Hatua ya Kitiga kutangaza uungwaji mkono wa wazi kwa maandamano hayo inatarajiwa kuibua mjadala mpana wa kisiasa kuhusu ajenda na malengo ya maandamano ya Julai 7, pamoja na nafasi ya vijana katika harakati za kisiasa nchini.
Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Necto Kitiga, ametangaza kuunga mkono maandamano yanayotarajiwa kufanyika Julai 7, 2026, huku akisema vijana wa CHADEMA wataungana na waandamanaji hao katika kudai haki kwa Tundu Lissu. Kitiga alitoa kauli hiyo Juni 23, 2026, wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Stendi ya Kabwe, Jijini Mbeya. Katika hotuba yake, alisema BAVICHA imepokea taarifa za maandamano hayo na imeamua kutoa uungwaji mkono kwa wananchi watakaoshiriki, akisisitiza kuwa pamoja na madai yao ya msingi, suala la haki kwa Tundu Lissu litakuwa sehemu ya ajenda watakayoibeba. “Nimesikia tarehe 7 Julai 2026 mnakwenda barabarani kudai madai yenu ya msingi, sisi vijana wa CHADEMA tunawapeni baraka, nendeni, nasi tunaungana na nyie kudai haki ya Tundu Lissu,” alisema Kitiga. Kauli hiyo imekuja wakati maandalizi ya maandamano hayo yakiripotiwa kuendelea katika maeneo mbalimbali, huku makundi tofauti ya wananchi yakieleza misimamo yao kuhusu tukio hilo. BAVICHA, ambayo ni Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imesema itaendelea kusimamia masuala ya haki, demokrasia na utawala wa sheria nchini. Kupitia tamko hilo, viongozi wa baraza hilo wameonyesha utayari wa kushiriki katika harakati za kudai kile wanachokieleza kuwa haki na usawa kwa wananchi wote, ikiwemo suala la Tundu Lissu. Hatua ya Kitiga kutangaza uungwaji mkono wa wazi kwa maandamano hayo inatarajiwa kuibua mjadala mpana wa kisiasa kuhusu ajenda na malengo ya maandamano ya Julai 7, pamoja na nafasi ya vijana katika harakati za kisiasa nchini.

About