Kama unaamin mungu atamponya pakome harak🙏gonga like 👍 apa
2026-06-30 19:35:15
248
Kijana mpole# :
dahaa me mwanasimba lakin hlo tukio sio poa inauma sana, kikubwa tungane kwa pamoja kama wanasoka tumuombee apone nina amini atapona Mungu ni mwaminifu
2026-06-30 18:54:48
157
toto2ndu⛓️💥⛓️💥 :
am not feeling well today
2026-06-30 19:52:34
2
heaven light :
tulio Lia ni wengi sana😭
2026-06-30 19:09:17
77
Rehema :
utafutaji nimgumu sana mungu awatie nguvu wachezaji wetu
2026-06-30 19:36:37
26
Miclamine yamal :
jaman tumuunge mkono pacome atapona tuu mungu amulinde katika matibabu yake
2026-06-30 20:16:26
20
briannah :
amna siku nimelia kama leo duh 😢😢
2026-06-30 19:21:32
31
Amina Juma :
dad imeniuma sana
2026-06-30 19:15:24
7
oficalwitness :
Tukio hili limetuumiza wengi ee Mungu mponye mja wako 😭🙏
2026-06-30 19:44:25
11
M∆¥£NG0 B0Y :
Mungu amsaidie sana
2026-06-30 19:15:31
16
mudrick :
jamani inaima sana Wana yanga mungu yupo
2026-06-30 19:21:01
10
cat..p :
mungu amsaidie San
2026-06-30 19:21:17
11
mangenge almas :
zmemponza sifa
2026-06-30 20:15:11
3
alonso 46 :
sorry pacome
2026-06-30 19:30:28
2
smart man@6 :
Tunashangilia ubingwa ila sema kweli mioyo haina furaha kwa tukio ili la ili. ila mungu ni mwaminifu saana Atampnya
2026-06-30 19:56:53
8
mwaisasula :
saaaaaaaaaafi mungu mwema tunashukulu jumba lamaajabu limefanya kazi
2026-06-30 21:08:36
0
Michael Mollel :
sorry pacome 🙏🙏🙏
2026-06-30 21:39:51
0
Nice_Kitchen :
mimi ni simba lakini nimeumia sana get well soon my brother
2026-06-30 20:23:59
0
Emmanuel :
jamani kama ww ni mtu wa mpira usipite bila kugonga like hapa😭😭😭😭