@mwanahamisikiping: MBEGU ZA MWANAUME NI NZURI, LAKINI MIMBA HAIINGII? 🤔 Sababu mojawapo inaweza kuwa maambukizi kwenye njia ya uzazi ya mwanamke. Maambukizi yasipotibiwa yanaweza kuathiri mazingira ya uzazi, kufanya mbegu zishindwe kufika kwenye yai au kuongeza hatari ya matatizo kwenye mirija ya uzazi. Ukichelewa kutibu maambukizi, yanaweza kuathiri uwezo wa kupata ujauzito. Usipuuzie dalili kama: ✔️ Uchafu usio wa kawaida ✔️ Harufu mbaya ukeni ✔️ Kuwashwa au maumivu ✔️ Maumivu wakati wa tendo la ndoa Pata ushauri mapema na chukua hatua stahiki kwa afya yako ya uzazi. 📞 Kwa maelezo zaidi na huduma, wasiliana nasi: 0673178170#mwanamke##uzazi #fyp #hedhi