kwahyo nipigie watu kelele kwenye dala dala nionekane kichaa
2026-07-16 14:54:32
9
tonny🥁🥁 :
ubepari ww una wifi et😅😅
2026-07-01 21:02:32
4
🍎sophy🍫 :
10/10 nimeweza
2026-07-11 11:49:58
2
mery robby :
kwa kwel kila mtu ajue sasa mm namwambia hey Google fungua YouTube eeeee apana kwakweli
2026-08-02 20:34:35
2
G Kess :
Tecno spark 20 inafanha
2026-08-18 19:52:46
0
Man_tech001 :
Hello habari za mda huu Ndugu, mimi simu yangu(HUAWEI nova Y70 plus) inadai haina Google play services. Mamb mengi nashindwa kuyafanya, apps nyingi nashindwa kuzi-install kwa sababu simu haina ns hai support Google play services. Jee inawezekana ikapandinkizwa hizo huduma za Google play au nifanyeje ili kuweza kuiweka sawa kama simu nyingine?
2026-07-09 12:52:16
0
Čøľđ mįņđ :
tiktok mbona hafungui?
2026-07-01 15:04:54
4
Pele boe 10⚽ :
Bro je ukitoka kuiambia mpigie mtu fulan kwenye namba zako za cm
2026-07-25 20:49:13
2
whizzkid :
ila data zinatakiwa kuwa on?
2026-07-01 15:34:02
3
Severine Malima :
kama samahan kama nilisahau password na nikaiflashi je hizo baadhi ya vitu vyangu naweza tena kuvipata hasa picha