@kanikibrown: Aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Heche amekutwa akiwa amefariki ndani ya nyumba ya kulala wageni mkoani Kigoma asubuhi ya kuamkia leo Julai 01, 2026 huku Jeshi la Polisi likiendelea kuchunguza chanzo cha kifo hicho. Mkuu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma SACP Filemon Makungu ametoa taarifa kwa vyombo vya habari kufuatia kifo hicho ambacho kimetokea gafla na kwamba aliyefariki amefahamika kwa jina la Suezi Dani Maradufu. Watafute @lecainvestment_dodoma .......................................................... #WEWENIFAMILIA Ripota wa Habari za Mikoani ✍ @kaniki_brown “Endelea kufuatilia #Ripotawahabarizamikoani kwa taarifa sahihi na za uhakika. KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287 #kanikibrown”