@abufafiassalafytv: Wacheni kuimba MISIKINI #creatorsearchinsights @Vijana wa ahlu sunnah wal jama @SHEIKH WALID ALHAD TV @Babdeo Miladu @Badawy TV @muhsinbute

ABU FAFI ASSALAFY
ABU FAFI ASSALAFY
Open In TikTok:
Region: KE
Wednesday 01 July 2026 14:22:28 GMT
15822
757
42
107

Music

Download

Comments

usermra47
Mr. A :
Poor logic reasoning and logic..
2026-07-29 12:17:03
0
bin.athman
Bin Hamza :
haya mambo ya kuzima speaker wakati wa swala ilianza saudia baada ya bin Salmaan kichukuwa uongozi.haipo ktk sheria ya dini bali ni ufalme ndio uliamuwa misikiti kuswalisha bila ya vipaza sauti vya nje.na ni wazungu wanaofanya Saudi ARAMCO ndio walipeleka malalamishi eti ni kelele na vile msaudi kwa muamerica ni kama mbwa kaona chatu.huu ndio ukweli wa mambo.na haya mambo yakianza mimi nilikuwa imamu wa msikiti mmoja Dammam.kuna wakati tunajigamba eti tunaiga saudia kumbe tunafata matakwa ya wazungu bila ya kujijuwa😢
2026-07-02 10:06:38
4
diggy.ricco
Diggy Ricco :
Ww kama sheikh si uwafate yanini utie kwenye mitandao nawewee umesoma dinii,wawadhslilisha wenzakoo nasisawaa
2026-07-05 08:37:18
6
user623292743473
user623292743473 :
skia shoga hili lajiona takatifu....yani hawa mawahabi kwa kuhukumu wenzao..utasema wao ndio mungu
2026-07-09 19:06:34
4
harith.hilal
HARITH HILAL :
vipi mwajenga msikiti hapo happ wacha aibu ustadh
2026-07-01 17:47:32
5
foremangnail3
Dragon Boe :
Ukimskiliza ukiweka wivu pemben anakitu kizuri kinazungumzwa
2026-07-17 22:10:37
2
zahor9157
Zahor Rashid :
sahihi fajir watu watano tu nyuma ya imam. mispiker ya ndani na nje pia. imam anaswalisha wamama nyumbani au. jumaa jitu linasoma Quran mic utulivu unakosekana kwa wengine
2026-07-22 18:22:24
1
muhaa19801
muhaa19801 :
ww kazi yko.kuwasuta mashekh tu huna elmu ingine elmu gani ww huna nasaha zingine ww
2026-07-13 04:31:22
3
user2693822981166
إبن قدامة :
حفظه الله تعالى ورعاه شيخنا
2026-07-02 16:25:58
2
alhamdulillah32876
Alhamdulillah :
ustadh wewe ni chukiiii Huna mapya au mazuri saa zote makhurafi maulidi wewe ni mjinga sio jengine
2026-07-01 20:28:27
2
shebajaufymambasa
STRAIGHTS OF HORMUZ :
story za trump hizo
2026-07-17 16:31:31
1
user7904670866800
kijasho :
huna jipya wewe malumbano tu
2026-07-01 18:24:19
1
usersultana15
hajj :
😳subhananllah
2026-07-03 16:59:24
2
alamin.hajj
alamin hajj :
ww ndiye unae peleka DINI na hamasa alosema ameonesha kua ikiwa MISIKITINI kuswali nasauti ya spika kwa dakika Tano pakakumi nifujo basi kwanza kakataze fujo ya kasablanka akimaanisha wale watumia masaa mingi ya fujo Wala HAJA fananisha msikiti na kasablanka jielewe ndugu
2026-07-03 03:50:38
2
muhamad.muft3
MUHAMAD MUFT :
@MUHAMAD MUFT:Acha matusi shekhe ywaongea kitu kizuri na wala sio kibaya kumuudh jiran yako ni makosa so shekhe humeid Yuko saii kwa nini zama za maswahaba na mtume Akukua na maspika so wapinga nini
2026-07-20 17:36:03
2
mdutch60
mdutch :
kelele ndio munazupenda munweka maspika tena manafanya kisud kukera wenzanu miskiti yenu munafungua maspika kwa saut kubwa .
2026-07-11 11:02:17
1
jumaartzone
Juma27 :
wewe wapenda kupeleka dini na hamaki kweli... unashida wapenda kufuatwa lazima
2026-07-10 16:24:52
1
faadhil81
فاصل :
hahaaa
2026-07-10 10:26:36
1
abu.khalda
Abu khalda :
haikua busara kujenga msikiti pale pale kwasababu ule msikiti mkubwa ulikua kitambo kwahio hata Kuna ikhtilafu basi ungejengwa kwengine
2026-07-02 05:22:18
4
noordinmaalim956
noordin maalim :
fitna tuacheni mitandaoni kwanini misikiti miwili hapa na hapa ama mmoja wa peponi msikiti mwemgine wa motoni ?
2026-07-01 19:36:08
3
re_moon001
moon :
sasa ikiwa msikiti ni mkubwa kwa nn ujengwe msikiti mwengine.kisa ni msikiti wa makurafi?kwani haya maulidi mnaifahamu vp?mbona mwaifanya mawlid ni kama shirki?
2026-07-22 20:54:00
1
mboma4627
"Mboma" :
Huo msikiti wa Sunnah umepata huo msikiti wa Makhurafi hapo kwaio kama ni issue na kusikizana wakati wakusoma Quran basi ule msikiti wa Sunnah hungejengwa pale but anyway naona sahii nikama hauko tena coz kulipitishwa barabara hpo
2026-07-22 20:01:55
0
diggy.ricco
Diggy Ricco :
Ebu tulieni mashEkh wengine hamna subraa na wenzenuu
2026-07-05 08:38:09
2
shebajaufymambasa
STRAIGHTS OF HORMUZ :
huo mdogo sio mskiti bana
2026-07-17 16:29:40
1
To see more videos from user @abufafiassalafytv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About