🙏🙏🙏nimipenda I stoli nimejifunza kitu kikubwa sana
2026-07-02 12:38:00
0
Officially Moha,✌ :
Allahamdhulilah
2026-07-02 11:48:46
0
Zahra Omar :
Ameeeen thuma Ameeen
2026-07-01 22:52:00
0
Husna Ally :
ameen thumma ameen
2026-07-02 07:51:44
0
Abdishakir Morgan :
Amiin
2026-07-01 18:07:19
1
kashiringikaenakiabass :
amiiin
2026-07-01 19:11:31
1
mohmusy11 :
Alhamdulillah
2026-07-02 11:19:54
0
Rashid Chembele :
alhamdulilah
2026-07-02 11:46:08
0
swalehalhadhiri :
sahih kabisaaa. Allahumma ameen🤲🤲
2026-07-02 11:39:05
0
lawyer :
Imamu hajakosea kwa namna fulani
kuna hadithi inasema
"Lau mngekuwa mnamtegemea Allah kwa tawakkul ya kweli, angewaruzuku kama anavyowaruzuku ndege: hutoka asubuhi wakiwa na njaa na hurudi jioni wakiwa wameshiba."
Kumbuka kwamba ndege hawakai viotani wakisubiri chakula kije; hutoka kutafuta. Hivyo, hadithi hii inaonyesha kuwa tawakkul ya kweli huambatana na kuchukua sababu.
Hata hivyo, Allah anaweza kumruzuku mtu bila juhudi zake kwa hekima Yake, lakini hilo ni jambo la uwezo wa Allah, si kanuni ya kumfanya mtu aache kutafuta riziki.
2026-07-02 13:56:21
0
To see more videos from user @aliramasaid, please go to the Tikwm
homepage.