@cawabemedia_: uongozi wa timu ya jkt ulipokwenda kumtembelea pacome ambae jana alipata majera kutokana na kuchezewa rafu na mchezaji wa timu ya jkt wahabi leo amekwenda kumuona hospital na kumuombea dua ,pia pacome amepokea msamaha wa wahabi na hana kinyongo nae ilikuwa ajali na sehemu ya mchezo waendelee kushikama na aondoe hofu .
KAMA UNA AMINI PACOME ATA PONA SEMA INISHA ALLAH 🙏👏🏾💪
2026-07-01 18:30:16
140
Aisha Shaaban :
Huo ndo utu unao takiwa kwenye maisha 🤲🤲🤲
2026-07-01 16:29:45
231
Mr window upvc and alminium :
pole sana professional
2026-07-01 16:21:05
2
mimi :
Mungu akuponye haraka Pacome. Hongera sana WAHABI huo ndio utu Mungu akubariki na InshaaAllah dua imepokelewa
2026-07-01 16:14:05
119
bynah🌹... :
mimi nimshabik wa simba ila kwa hili mashallah baraka llah lakum una roho safi mashallah
2026-07-01 18:31:07
34
Ayshers othman :
get well soon we love you Pacome😍😍😍
2026-07-01 18:44:53
11
ndelwa :
mungu akujalie afya njema zizu
2026-07-01 17:23:48
31
homeboy :
nimefurahi sana kuona hakuna negative comments zote zinampa pole bwana pacome na kumuombea kwa Mungu apone na arudi kwenye football salama❤️❤️❤️lkn mashabiki wa yanga hii ni darasa kwenu maana naona hata mashabiki wa simba hawajafurahi kwa maumivu anayopitia zouzoua, japo nyie mlifurahi pindi mwamba wa Lusaka alivyoumia mpaka mkawa mnarekodi video mnashangilia. jifunzeni kitu hapa🥰🥰🥰
2026-07-01 18:08:55
33
Last born💞🥰 :
Ameen 🙏🙏inshaallah Allah amponye pacome 💛💚💛💚
2026-07-01 19:13:47
6
Jacklin erenesti Erenest :
pole sana kamanda mungu atatenda muujuza wake utapona
2026-07-01 16:35:38
17
ESROMU JOHN :
Kiukweli nimefurah sana kuliona hili jambo
2026-07-01 17:26:01
29
FAZA BOY :
atapona ishaallha 🤲🤲🤲🤲
2026-07-01 17:12:32
6
Roserose :
mungu akuponye mpendwa pole sana kaka
2026-07-01 18:07:36
9
Princess🦋💖 :
Pole sana kipenzi chetu pakome mungu akuponye haraka
2026-07-01 17:10:39
11
kimaroprisiosa :
Amina mungu atende yaliyo mema mengi zaidi kwako kupitia hili🙏🙏
2026-07-01 18:06:01
7
saumu juma :
Amin Amin Amin
2026-07-01 19:55:45
0
harriet :
Good is good he will recover🥰
2026-07-01 19:38:43
0
hussen mdoe :
Amin Amin Amin Amin Amin 🤲 Amin
2026-07-01 19:48:10
0
nashprime :
hiyo safi sana kusameheana
2026-07-01 16:47:31
8
Kaka yetu :
mtu mwenye utu Hongera sana napolen sana wana yanga
2026-07-01 16:51:19
7
:H: :
@mimi:Mungu akuponye haraka Pacome. Hongera sana WAHABI huo ndio utu Mungu akubariki na InshaaAllah dua imepokelewa kwa yeye alisema tumuombe na atatujibu
2026-07-01 18:42:35
8
Abdull razack :
Mashabiki wa simba sc pia tunakupa pole sana mungu atakusimamia katika hali hio utakuwa sawa ishallah
2026-07-01 17:11:25
10
user2965287181790 :
hap hakun upinzan mungu akusaidie upune kw haraka 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
2026-07-01 16:57:04
7
elicia🦁🦁 :
dahhhh 🙏🙏🙏🙏
2026-07-01 16:26:20
2
Peter Molell :
mungu akuponye kwa haraka sana
2026-07-01 16:48:06
3
To see more videos from user @cawabemedia_, please go to the Tikwm
homepage.