@ramadhani.w.mkalagale: mambo ya bidaah? au hamna elimu? au ni wavivu wa kufunua vitabu? someni someni kidogo. #TRENDINGVIDEO #TIMERMEDIA #videoviral #timermedia #timermedia #iran🇮🇷 #oman🇴🇲 #saudiarabia🇸🇦🇵🇰🇸🇦 #tanzaniantiktok🇹🇿 #vilralvideo

Timer Media
Timer Media
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 01 July 2026 18:00:18 GMT
9066
401
24
46

Music

Download

Comments

ahmedofafa
ahmedjuma2008 :
shekhe zikri hiyo ni halal
2026-07-26 13:10:39
0
74.sheikh.ibrahim
sheikh Ibrahim Said :
Baraka Allah feekum
2026-07-02 08:08:21
2
user911165232973
Rasheed mussa :
maashaa allaah mungu akulipe kher umepambana vizuri
2026-07-03 18:08:51
3
ismailisoloka
ismaili soloka :
asante sana
2026-07-04 09:27:03
0
ibrahim.chuma4
Ibrahim Chuma :
maashaallah
2026-07-04 18:11:29
1
user5540121075588
user5540121075588 :
acha kibri
2026-07-01 22:39:17
1
shafiimavulunziy97
المفولنزي خليفة القادري :
kama alikuwa anahitaji dalili itakuwa ameshaelewa.
2026-07-02 07:50:13
1
riraty123
rifaty :
alhamdulillah ulivyomjibu mashallah 💕😍
2026-07-02 16:23:43
0
djuma.sumaili
djuma sumaili :
سبحنالله
2026-07-01 18:50:02
1
ridwan.real.estate
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Hapana. Ibn Kathir hakusema kwamba kusema "Ah" au "Aah" peke yake ni dhikri ya Kisharia inayopaswa kurudiwa kama ibada. Alipofasiri aya: ﴿إِنّإِبْرَاهِيمَلَأَوّاهٌ حَلِيمٌ﴾ (Qur'ani Tukufu) alinukuu maelezo mbalimbali ya wanazuoni wa Salaf kuhusu maana ya "awwāh (أوّاه)", kama vile: Mwenye kuomba dua sana. Mwenye kunyenyekea sana kwa Allah. Mwenye kumkumbuka Allah sana. Mwenye kumcha Allah. Hakusema kwamba maana yake ni kufanya "Ah, Ah" kuwa dhikri maalumu ya kuabudiwa. Kwa hiyo, hakuna katika vitabu vya Ibn Kathir dalili kwamba aliruhusu au alipendekeza kusema "Ah" kama dhikri ya kujitegemea.
2026-07-03 16:44:03
0
user66137026531747
NGOMA :
Ww unamjibu shekh unaweza au porojo
2026-07-02 07:17:34
0
ridwan.real.estate
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Ndiyo, katika Qur'ani Allah amesema: "Hakika Ibrahim alikuwa mwingi wa kuomba kwa unyenyekevu (awwāh), mvumilivu." () Neno "awwāh" (أوّاه) halimaanishi kwamba kusema "Ah" peke yake ni dhikri iliyowekwa. Wanazuoni wamefasiri "awwāh" kuwa ni mtu: Anayemkumbuka Allah sana. Anayeomba na kunyenyekea sana kwa Allah. Mwenye kumcha Allah sana. Mwenye huruma na moyo laini. Kwa hiyo, aya hii haiwi dalili ya kwamba kusema "Ah" peke yake ni dhikri ya Sunnah. Badala yake, inaeleza sifa ya ya kuwa mnyenyekevu na mwenye kumwomba Allah kwa wingi.
2026-07-03 16:42:33
0
user0767124493
Mpende kila m2&@ :
nawe umetokea wap?
2026-07-02 05:38:43
0
sir_yusuf17
Darasa Langu :
Hakika ni uvivu wa kufungua vitabu
2026-07-04 13:41:36
1
ridwan.real.estate
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
إذا كنت تقصد قول: "آه" أو "آه آه" على سبيل الذكر والتعبد، فليس هذا من الأذكار الواردة في القرآن ولا في السنة. بل الأذكار المشروعة هي مثل: سبحان الله. الحمد لله. لا إله إلا الله. الله أكبر. لا حول ولا قوة إلا بالله. أما قول "آه" مجردًا على أنه ذكر يتقرب به إلى الله، فلا دليل عليه من القرآن أو السنة، ولم يُعرف عن الصحابة أو التابعين أنهم كانوا يتعبدون الله به.
2026-07-03 16:39:08
1
rajabdadiy70
Rajab Dadiy :
maashallah, umefafanua vyema ndugu yetu, Allah akulipe kwa nia yako, na kwa juhudi zako, inshaallah. sheikh alihitaji dalili kwa nia ya kutaka kusoma, au kujikumbusha, au kuondoa shaka moyoni na wale wanao msikiliza, basi ameipata. nijuu yake kukubali au kukataa hapo itategemea na nia, elimu, inswaaf na msimamo wake.
2026-07-01 19:35:05
2
user37342983787598
MOHD MOHD :
ata nayy ni bidaa kazuka
2026-07-06 07:53:02
0
user2495217369327
ummys mashamshamus :
omba mjadala shekhe
2026-07-02 07:34:02
1
charafimali
charafimali :
ALLAH akuhifadhi. TUNAWAAMBIA KUA LAA YUURA ANUAARU ILLA AHLI ANUARU. . tutakutana kwa ALLAH tuwajuwe kinanani wahuni na mawalii.
2026-07-03 16:27:34
0
user8428417673821
nachimango :
kaka samahani unatukoseya Sana 😭😭😭
2026-07-09 20:19:08
0
user6150951854603
user6150951854603 :
Maashallah mtu akiwa anajua mpk anavyojibu hapayuki ni taratibu na ushahid dah mtu anajibu hoja mpk rah
2026-07-11 15:07:35
0
To see more videos from user @ramadhani.w.mkalagale, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About