Braza utumiaji wa AC za dar na Dom ni tofauti kabisaaaa
Lkn nadhan Kuna jambo lingine itakuwa hajataja
2026-07-02 17:29:48
5
Hermann Joseph Kagimu :
👌 Long live Honourable Pius Msekwa. You're an astute Politician and Leader.
2026-07-02 07:04:00
6
Laur Tajiri :
ok👍
2026-07-02 11:25:50
1
max.bway2 :
makofi
2026-07-02 12:29:12
2
Mr. Abdallah :
je hizo AC zinawashwa ?
2026-07-02 06:07:41
2
Boa 高博 :
Brother mi nakufollow kwa sababu ya ilo cheko 😂😂😂
2026-07-03 11:07:22
1
G LUCKYTHEGREAT1 :
nimependa kicheko😂😂😂😂
2026-07-02 08:53:50
0
Hance Bey :
wagwani
2026-07-01 22:19:41
0
BM FORCE :
😂😂😂😂 brother mnafiki ww
2026-07-02 04:54:43
0
SADDH"Afandesele's regency🇹🇿 :
Kuna sababu nyingine amezificha
2026-07-02 11:37:44
4
Fact :
Mji unaanzishwa na harakati za biashara , Daresalaam ni jina lenye maana ya Nyumba ya Amani kwa kiarabu na ndio walikuwa wafanyabiashara waliokua wengi sasa aliokuja na fikra ya kutaka Daresalaam usiwe mji mkuu alikua akipata shida na ukweli huo
2026-07-02 02:32:47
0
Horoma Fidel :
walikuwa na wachumba kutokea hapo..hamna lolote
2026-07-03 11:32:14
0
Sheru2 :
Didoma ni Icon, mji una hitaji kutunzwa
kwa siri .
2026-07-02 16:27:58
0
Benjamin Phinias :
hapo kwanza ncheke🤣🤣🤣
2026-07-02 05:48:36
0
Boa 高博 :
kitabu kimeandikwa mwaka gani ili tuweze kujua bei ya AC kwa mwaka huo 😂😂😂
2026-07-03 11:09:59
0
kyando.com :
sababu dodoma kuna bahari😅
2026-07-02 19:23:30
0
fundi othman :
mi nashindwa kuelewa😂😂
2026-07-01 21:26:24
0
Ba 5 :
Sababu ya kwanza na ya pili ni kitu kimoja ila ina vipengele viwili. Kwa kuwa ni kutaka majibu au sababu ziwe nyingi ndio maana zimetofautishwa.
✓ Sababu nyingine ya kimsingi ni usalama.
2026-07-02 11:29:33
0
Isack Mackphason :
Ujue jinsi gan tulivyo na viongozi Wenye vision ndogo