@ali_wisdom: Na ni sawa kulia unapohisi umelemewa na maisha. Usijilaumu kwa kushindwa kuwa na nguvu kila wakati. Wewe ni binadamu, na kila moyo una kikomo cha kubeba maumivu. Ruhusu machozi yatiririke ila usikate tamaa kwani kuna baadhi mambo ambayo muda na rehema za Mwenyezi Mungu pekee ndivyo huyaweka sawa. #creatorsearchinsights #viralvideo #fyp