@mkakamweusii: Mwenyekiti wa kampuni za Said Salim Bakhresa (SSB), Said Salim Bakhresa amepewa Tuzo ya Mlipa Kodi Mwenye Hadhi ya Juu katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bakhresa ameshinda tuzo hiyo iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa mwaka wa pili mfululizo baada ya TRA kumtunuku tuzo kama hiyo katika mwaka wa fedha uliopita wa 2024/2025.#creatorsearchinsights #creatorsearchinsights #creatorsearchinsights #creatorsearchinsights #creatorsearchinsights

mkaka_mweusi☻️
mkaka_mweusi☻️
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 01 July 2026 19:59:39 GMT
19735
527
11
53

Music

Download

Comments

mwasengo4
mwasengo :
Pamoja
2026-07-02 06:58:52
1
ahmedali1999ahmal
ahmed ali :
anastahikii
2026-07-02 08:07:28
0
user699321138829
user699321138829 :
masha alaah
2026-07-02 10:29:26
1
ahmedali1999ahmal
ahmed ali :
fact
2026-07-02 08:07:11
0
qis59916
qis :
MO eti ndiye tajiri no 1😭😭😭
2026-07-02 13:20:51
1
user7463278123571
user7463278123571 :
Tuzo ni muhimu ila najuaga wafanyabiashara ni maagenti wa serikali wa kuwakusanyia kodi , walipa kodi ni walaji hivyo anatakiwa aitwe agent mzuri kuliko wote
2026-07-02 07:29:54
1
mkakamweusii
mkaka_mweusi☻️ :
🥰🥰🥰
2026-07-01 20:16:17
0
victoria.gl20
Victoria GL :
🥰🥰
2026-07-02 06:42:47
0
To see more videos from user @mkakamweusii, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About