@feuilleton.indien5: shree #serieindienne

Feuilleton indienne plus
Feuilleton indienne plus
Open In TikTok:
Region: MZ
Wednesday 01 July 2026 21:26:43 GMT
5183
467
19
13

Music

Download

Comments

mirabelle12381
18 juillet 🎂❤️ :
la suite svp
2026-07-03 08:46:50
0
user47536950831025
barel sy :
la suite svp
2026-07-01 21:35:03
2
jehudiel30
@jehudielaida💫🙏💐🍫 :
suite stp 🥰🥰🥰 merci
2026-07-01 21:38:08
2
boulousali
Boulou Sali :
suite svp déjà 22h50
2026-07-02 21:43:28
0
acddeltv
ACDDEL TV :
retour du kangana
2026-07-02 10:21:27
0
floflo0747
floflo🦋 :
Svp la suite 😓😓😓😓🙌🤲😭😭
2026-07-02 11:49:30
0
mamanaida22
madam Yaro😘🤘 :
bsr pardon la suite 🙏🥰
2026-07-02 11:23:37
0
carine.kengne8
Carine Kengne :
Suite svp
2026-07-01 21:54:51
1
sarahfof00
Sarah07♻️♻️ :
Merciiiiii 🥰la suite façon je suis branché la faut pas me débrancher oh tonton 😂
2026-07-01 22:22:13
0
bernache242
Le remède 🦋💊✨ :
Même en tenant seigneur Kaneche kangana arrive à être là 😂
2026-07-03 09:37:14
0
wal___ali
Wal___Ali :
🥰🥰🥰
2026-07-01 22:03:20
1
user9607614038539
Ami sané :
💞💞💞
2026-07-01 22:14:30
1
mariama.diallo5254
Mariama Diallo :
🥰🥰🥰
2026-07-03 19:35:29
0
lima79091
Halima Diallo :
❤️❤️❤️
2026-07-02 15:48:40
0
famafall098
Fall Shop 🫡 :
🥰🥰🥰
2026-07-02 13:24:58
0
fatimaiga33
fatimaiga362 :
❤️❤️❤️
2026-07-01 22:02:17
1
demzo719
Mr Dembele ☺️ :
🥰🥰
2026-07-01 22:25:06
0
cheriedo03
Dodo❤️😍💋🫦🦋 :
🥰🥰
2026-07-02 00:49:37
0
safoura.ouedrago2
Safoura Ouedrago :
🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣😳
2026-07-05 14:01:39
0
To see more videos from user @feuilleton.indien5, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

DHAMBI NDOGO NDOGO AMBAZO WATU WENGI HUZIDHARAU LAKINI HUHARIBU UHAUSIANO NA MUNGU Watu wengi hufikiri kwamba dhambi ni zile kubwa tu, lakini ukweli ni kwamba hata mambo madogo madogo tunayoyapuuza yanaweza kuathiri sana maisha yetu ya kiroho. 1. Kupuuza maombi ya kila siku. Maombi ni pumzi ya kiroho. Bila maombi, uhusiano na Mungu hudhoofika taratibu. 2. Kusema uongo mdogo mdogo. Uongo wowote huvunja uaminifu na moyo wa ukweli mbele za Mungu. 3. Maneno ya kuumiza wengine. Lugha yetu inaweza kujenga au kubomoa maisha ya watu wengine. 4. Kusengenya na kusambaza taarifa za wengine. Hii huleta mgawanyiko na huzuni katika jamii na moyo. 5. Kutokuwa na muda wa Neno la Mungu. Biblia ndiyo mwongozo wa maisha ya Mkristo, kuipuuza ni kujitenga na mwanga. 6. Kushindwa kushukuru. Moyo usio na shukrani hupoteza kuona baraka zilizopo tayari. 7. Wivu kwa baraka za wengine. Badala ya kushukuru kwa wengine, wivu huleta machungu na umbali wa kiroho. 8. Kujihesabia haki kuliko kutubu. Kukataa kukiri makosa hufunga mlango wa msamaha. 9. Kuishi maisha ya unafiki. Kuonekana mzuri mbele za watu lakini tofauti moyoni. 10. Kuweka Mungu pembeni kwenye maamuzi ya kila siku. Mungu anataka awe sehemu ya kila hatua ya maisha yetu. 📖 Yakobo 4:17
DHAMBI NDOGO NDOGO AMBAZO WATU WENGI HUZIDHARAU LAKINI HUHARIBU UHAUSIANO NA MUNGU Watu wengi hufikiri kwamba dhambi ni zile kubwa tu, lakini ukweli ni kwamba hata mambo madogo madogo tunayoyapuuza yanaweza kuathiri sana maisha yetu ya kiroho. 1. Kupuuza maombi ya kila siku. Maombi ni pumzi ya kiroho. Bila maombi, uhusiano na Mungu hudhoofika taratibu. 2. Kusema uongo mdogo mdogo. Uongo wowote huvunja uaminifu na moyo wa ukweli mbele za Mungu. 3. Maneno ya kuumiza wengine. Lugha yetu inaweza kujenga au kubomoa maisha ya watu wengine. 4. Kusengenya na kusambaza taarifa za wengine. Hii huleta mgawanyiko na huzuni katika jamii na moyo. 5. Kutokuwa na muda wa Neno la Mungu. Biblia ndiyo mwongozo wa maisha ya Mkristo, kuipuuza ni kujitenga na mwanga. 6. Kushindwa kushukuru. Moyo usio na shukrani hupoteza kuona baraka zilizopo tayari. 7. Wivu kwa baraka za wengine. Badala ya kushukuru kwa wengine, wivu huleta machungu na umbali wa kiroho. 8. Kujihesabia haki kuliko kutubu. Kukataa kukiri makosa hufunga mlango wa msamaha. 9. Kuishi maisha ya unafiki. Kuonekana mzuri mbele za watu lakini tofauti moyoni. 10. Kuweka Mungu pembeni kwenye maamuzi ya kila siku. Mungu anataka awe sehemu ya kila hatua ya maisha yetu. 📖 Yakobo 4:17 "Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi." Leo ni siku ya kujitathmini upya. Mungu hatoi hukumu ili kutuangamiza, bali hutuita turejee katika njia sahihi kwa upendo wake. 📚 Kitabu: Nguvu ya Mwanamke Muombaji Jifunze jinsi ya kuishi maisha ya kiroho yenye nguvu, maombi yenye matokeo na uhusiano wa karibu zaidi na Mungu. Soft Copy: Tsh 15,000 Hard Copy: Tsh 25,000 📞 Simu: 0752 683284 #Godisgood #MaishaYaKiroho #NenoLaMungu #TobaNaMaombi #FungaNaSala

About