tuseme sawa imetokea nyinyi inawahusu nini pengine mola wake keshamsamehe zamani na Toba ipo kwaajili yetu sote na sisi wanaadamu ni wakosefu mkamilifu ni Allah pekee
2026-07-05 10:51:10
1
RAA :
Dhana ni mbaya Allah amsahilishie na ampe subra huyo sheikh hakika inauma kusingiziwa mambo kama hayo
2026-07-02 13:07:02
2
Suhaila Juma :
hapana aliowaa na cheti anacho sheikh walid
2026-07-14 20:21:20
1
alialihamad3 :
unakosea mmoja sio sheikh nimsanii
2026-07-02 15:07:53
2
عائض سلمين :
yaani hii dunia imekamilika na inakaribia kuisha heshima ya mashekhe imepotezwa waharibifu leo ndio waheshimiwa ewe mola naomba mwisho mwema
2026-07-02 15:19:57
2
shokoloko123 :
Tugange yajayo
2026-07-02 11:59:23
1
Bushoke :
mushambiwa Sheria uwe mashahid 4 je wanao ushaid wapo