walicho maanisha apo ni kwamba usipo acha idle turbo charger itaharibika.
na hii ni kwa gari zenye turbo charger, ambazo hazina unaweza ukazima hapo hapo.
Kuacha idle dkka 1 au 2 inasaidia kuzuia oil baking. Ikikaa mda mrefu ina sababisha carbon buildup, pia mafuta yanaweza kupita kwenye ring piston ika changanyika na oil
2026-07-02 06:23:28
9
BrazaMashati👕👔 :
Thanks bro, that helps alot.!!
2026-07-02 11:37:46
0
Samsetty Jayden :
asa wamekosea wap.?!!
2026-07-02 17:46:23
2
Baba p :
uongo unaongea
2026-07-02 18:45:03
1
THE REMYD👑 :
ndo Mana Kuna baadh ya gari hasa G410 hua zinajizima Automatic zenyewe ndan ya dakika tu
2026-07-02 07:31:07
7
mtu Kaz 💪 :
uko sawa mkuu
2026-07-02 10:50:51
2
dick(wkundogroka) :
imeisha hiyo💪
2026-07-02 02:55:43
3
Ramaaa :
Nikweli hiyo kwaambao wamepata mafunzo SCANIA watakuwa wanalijua hilo
2026-07-02 10:29:41
3
Edwards :
nimekupata sasa
2026-07-02 15:48:00
1
kizunga :
ndiyo hivyo mkuu
2026-07-02 17:53:21
1
Master :
2026-07-02 11:49:44
1
wape salaam :
tunaishi kwa mazoeaaaa
2026-07-02 08:35:41
1
Riziki Brighton Minja🇿🇦 :
Mimi nikifika nazima hap hapo sina mafuta ya mchezo
2026-07-02 05:57:20
3
YAO.BOY :
Gari mnayo endesha mimi linazimika Automatic 😂🔥💪
2026-07-02 12:31:13
2
Bashir257 :
Saw kak ila huku ni Africa tunajiamulia sana mambo😂😂😂
2026-07-02 10:11:31
3
G 8 :
ukitoka apo nisomee ya stop engine
2026-07-02 02:20:34
1
Travel 🚛🚦🛣📵🇰🇪🇹🇿🇿🇲 :
Najee kwa izo Daki temprecha inakuwa ishashuka au inakuaje apo.
2026-07-02 05:50:30
1
Kims leila :
Mwalimu na vibanio vip sasa🤣🤣🤣
2026-07-02 06:23:17
1
identical :
bora umetupa elimu...ka alphard kangu nilikuwa nakaacha mpaka dakika 15 nikitoka safari...basi kuanzia leo ni dakika moja tuu nazima
2026-07-02 05:31:26
3
HUSTLE DRIVER🇹🇿🇺🇬🇿🇦 :
Saiz umekuwa mwalimu boy
2026-07-02 04:02:45
1
SCORPION :
kongole kwa dereva wangu mana alkuwa zaid ya dereva kwangu
2026-07-02 08:35:32
1
__msryta🌹 :
we bhan mbn ndio hivo tunafanyaga miaka yote hadi kwenye gari ndogo😅😅😅kiukweli unanchanganya😂😂😂
2026-07-02 00:55:29
3
✨AL-saudi-rukwa💫 :
#AVERAGE...
#IDOL...
2026-07-02 07:27:19
1
Kims leila :
Au n vibanio vya kwenye gari😂😂😂 mimi nimeelewa vibanio 🙈🙈🙈🙈
2026-07-02 06:24:20
1
To see more videos from user @karim_kims, please go to the Tikwm
homepage.