@dyndynreview: #daugoiclear

Dyn Dyn dịu dàng
Dyn Dyn dịu dàng
Open In TikTok:
Region: VN
Thursday 02 July 2026 09:35:44 GMT
1497
10
0
0

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @dyndynreview, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

✍ Adui wa Imani  ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━ 🪙 Yakobo 1:6 SRUV [6]  Ila na aombe kwa imani, pasipo mashaka yoyote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari linalochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku. ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━ Adui namba moja wa imani ni mashaka! Unaweza ukatumia neno mashaka, au hofu, au wasiwasi au kuvurugikiwa akili. Vyote hivi vinatabia moja ambayo ni kutokuwa na uhakika wa kile unachoamini. Mathayo 6:25 BHND [25] “Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?  Wasiwasi ni kuwa na uhakika kabisa kwamba huwezi kupata kitu fulani, na kwa kuwa una uhakika kwamba hupati basi ndio sababu inayofanya kila unachoomba hakiji. Wasiwasi ni mashaka, ni kutokuwa na uhakika. Shaka au wasiwasi vinafanya hupati, ndiyo inayozuia maombi yako kutimia na kupata ulichoomba. Sio kwamba ukiwa na shaka huwezi kupewa, utapewa lakini hutaweza kupokea, hutapata. Imani ndio inayopokea kile ulichoomba, shaka ndio inakataa kile ambacho umeomba. Shaka ni kinyume cha imani ndio maana tunasema shaka ni adui wa imani. Huwezi kuwa na shaka ukafanikiwa kitu. Badala ya kudhani kwamba kuna kitu Mungu kazuia usipate, jikague mwenyewe kama una imani au una shaka na wasiwasi. Hakuna kitu utakuomba Mungu akakunyima, atakupa ila shaka itakufanya usipokee. Kama una shaka juu ya unachotaka kuomba, basi shuhulika na hiyo shaka iondoke kwanza kisha ndipo ufanye maombi yako. Hakuna kitu utapata bila imani, pigana vita vya imani, shikilia imani, kataa
✍ Adui wa Imani ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━ 🪙 Yakobo 1:6 SRUV [6] Ila na aombe kwa imani, pasipo mashaka yoyote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari linalochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku. ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━ Adui namba moja wa imani ni mashaka! Unaweza ukatumia neno mashaka, au hofu, au wasiwasi au kuvurugikiwa akili. Vyote hivi vinatabia moja ambayo ni kutokuwa na uhakika wa kile unachoamini. Mathayo 6:25 BHND [25] “Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi? Wasiwasi ni kuwa na uhakika kabisa kwamba huwezi kupata kitu fulani, na kwa kuwa una uhakika kwamba hupati basi ndio sababu inayofanya kila unachoomba hakiji. Wasiwasi ni mashaka, ni kutokuwa na uhakika. Shaka au wasiwasi vinafanya hupati, ndiyo inayozuia maombi yako kutimia na kupata ulichoomba. Sio kwamba ukiwa na shaka huwezi kupewa, utapewa lakini hutaweza kupokea, hutapata. Imani ndio inayopokea kile ulichoomba, shaka ndio inakataa kile ambacho umeomba. Shaka ni kinyume cha imani ndio maana tunasema shaka ni adui wa imani. Huwezi kuwa na shaka ukafanikiwa kitu. Badala ya kudhani kwamba kuna kitu Mungu kazuia usipate, jikague mwenyewe kama una imani au una shaka na wasiwasi. Hakuna kitu utakuomba Mungu akakunyima, atakupa ila shaka itakufanya usipokee. Kama una shaka juu ya unachotaka kuomba, basi shuhulika na hiyo shaka iondoke kwanza kisha ndipo ufanye maombi yako. Hakuna kitu utapata bila imani, pigana vita vya imani, shikilia imani, kataa

About