@n.ghays: #CapCut #afghanistan🇦🇫 #پشتون_تاجیک_هزاره_ازبک_زنده_باد🇦🇫 #LanguageLearning

N Ghays
N Ghays
Open In TikTok:
Region: IR
Thursday 02 July 2026 12:03:43 GMT
7710
633
47
76

Music

Download

Comments

user4723478330724
روبانی افغان :
😭😭😭
2026-07-04 13:15:15
0
user5962610930952
@سدولی@ :
🥰🥰🥰
2026-07-04 12:18:11
0
user8139469776557
میرویس احمدی :
💔💔💔
2026-07-04 09:17:13
0
user7506268711177
سرتور بلوچ :
❤️❤️❤️
2026-07-04 07:07:38
0
hayatullah.safi60
hayatullah Safi :
🥰🥰🥰
2026-07-04 06:25:57
0
rhmdkol
RhmdkolSafi :
🥰🥰🥰
2026-07-03 21:25:06
0
nasibullah.armani
Nasibullah Armani :
🥰🥰🥰
2026-07-03 17:43:52
0
user7598876902023
حنان افغان :
❤️❤️❤️
2026-07-03 16:54:29
0
salaar_7260
ســـــــــــالارــ72ـ60 :
🥰🥰🥰
2026-07-03 15:33:00
0
user9591872587631
ګل محمد مسوی :
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
2026-07-03 11:42:01
0
emal.khan3943
Emal khan :
🥰🥰🥰
2026-07-03 11:13:35
0
atiq__armanii_3
🖤❤💔ستا💘لیونی 🇦🇫⚾🍒📿جانان :
🥰🥰🥰
2026-07-03 11:10:16
0
najibullahghays
N Ghays :
🥰
2026-07-03 08:52:01
0
musfersafi1
Musfer safi :
🥰🥰
2026-07-03 00:59:01
0
joomakhan.esaghza
لوی اسحاقزی :
🥰🥰🥰
2026-07-02 20:32:26
0
joomakhan.esaghza
لوی اسحاقزی :
🥰🥰🥰
2026-07-02 20:32:26
0
user5527288160206
ا🥰🇹🇷✌️🇦🇫🦅سدالله ناصری :
💔💔💔
2026-07-02 18:52:28
0
user9605779886635
عبدالله نوری :
😭😭😭
2026-07-02 18:25:58
0
user3331587440497
سردار :
😭😭😭
2026-07-02 17:51:26
0
kifaiyt.khan
Kifaiyt Khan :
❤️❤️❤️
2026-07-02 16:51:19
0
kifaiyt.khan
Kifaiyt Khan :
🥰🥰🥰
2026-07-02 16:51:16
0
kifaiyt.khan
Kifaiyt Khan :
❤️❤️❤️
2026-07-02 16:51:13
0
naseer.seerat
Naseer Seerat af :
😭😭😭
2026-07-02 16:50:59
0
user7128176994565
حاجی اغاخطری ده یارانومل :
🥰🥰🥰
2026-07-02 16:33:43
0
baseer5717
Baseer :
❤️❤️❤️
2026-07-02 12:16:04
0
To see more videos from user @n.ghays, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu hali ya usalama nchini, likisema kuna watu wanaojihusisha na uchochezi unaolenga kuwashawishi wananchi kushiriki katika vitendo vya vurugu vinavyoweza kuhatarisha amani na utulivu wa nchi. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa Makao Makuu ya Jeshi jijini Dodoma, JWTZ limesema amani na utulivu uliopo nchini umetokana na uzalendo wa wananchi na ushirikiano wao na vyombo vya ulinzi na usalama, hali iliyowezesha shughuli za maendeleo kuendelea bila vikwazo. Jeshi hilo limeeleza kuwa vitendo vya uchochezi vinaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo majeruhi, uharibifu wa mali, kuvuruga shughuli za kila siku za wananchi na kuathiri uchumi wa taifa. Kutokana na hali hiyo, limewataka wananchi kupuuza wito wowote unaohamasisha vurugu na kuendelea na shughuli zao za maendeleo kwa utulivu. JWTZ pia limeonya kuwa litachukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayehusika na uchochezi au vitendo vya kuvunja amani kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Sheria ya Ulinzi wa Taifa. Aidha, limeeleza kuwa lina mamlaka ya kushirikiana na vyombo vingine vya dola katika kudhibiti vurugu na kuhakikisha usalama wa wananchi na mali zao unalindwa. Jeshi limewahimiza wananchi kutoa taarifa kwa viongozi wa vijiji, mitaa pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuhusu dalili zozote za uchochezi au vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani. Pia limewahakikishia wananchi kuwa litaendelea kutekeleza wajibu wake wa kulinda nchi, Katiba na usalama wa taifa kwa weledi, utii na uzalendo. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Kanali Sylvester Mangure.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu hali ya usalama nchini, likisema kuna watu wanaojihusisha na uchochezi unaolenga kuwashawishi wananchi kushiriki katika vitendo vya vurugu vinavyoweza kuhatarisha amani na utulivu wa nchi. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa Makao Makuu ya Jeshi jijini Dodoma, JWTZ limesema amani na utulivu uliopo nchini umetokana na uzalendo wa wananchi na ushirikiano wao na vyombo vya ulinzi na usalama, hali iliyowezesha shughuli za maendeleo kuendelea bila vikwazo. Jeshi hilo limeeleza kuwa vitendo vya uchochezi vinaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo majeruhi, uharibifu wa mali, kuvuruga shughuli za kila siku za wananchi na kuathiri uchumi wa taifa. Kutokana na hali hiyo, limewataka wananchi kupuuza wito wowote unaohamasisha vurugu na kuendelea na shughuli zao za maendeleo kwa utulivu. JWTZ pia limeonya kuwa litachukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayehusika na uchochezi au vitendo vya kuvunja amani kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Sheria ya Ulinzi wa Taifa. Aidha, limeeleza kuwa lina mamlaka ya kushirikiana na vyombo vingine vya dola katika kudhibiti vurugu na kuhakikisha usalama wa wananchi na mali zao unalindwa. Jeshi limewahimiza wananchi kutoa taarifa kwa viongozi wa vijiji, mitaa pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuhusu dalili zozote za uchochezi au vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani. Pia limewahakikishia wananchi kuwa litaendelea kutekeleza wajibu wake wa kulinda nchi, Katiba na usalama wa taifa kwa weledi, utii na uzalendo. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Kanali Sylvester Mangure.

About