@isack.pate: Watu wengi wanajua kupenda, lakini si wote wanaojua kuthamini. Kupendwa hukufanya ujisikie wa muhimu. Kuthaminiwa hukufanya ujisikie wa kipekee. Usikubali kubaki mahali unapendwa kwa maneno, lakini huthaminiwi kwa matendo. Kwa sababu... Kupendwa ni zawadi, lakini kuthaminiwa ni baraka. ❤️🖤 Je, unaona tofauti kati ya kupendwa na kuthaminiwa? #IsackPate #SomoLaMaisha #LoveQuotes #Mapenzi #RelationshipGoals