@devotajs: Chosen One na Ajira #chosenone #tanzaniatiktok #zanzibartiktok #kenyantiktok🇰🇪

Devota JS
Devota JS
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 02 July 2026 14:10:42 GMT
102680
7150
649
352

Music

Download

Comments

eklesiaholy
Minister Shukuru joanes :
tusaidie na kutuambia kuwa kwanini hatuna hamu ya mapenzi lkn tunapenda kuwaona watu wakipendana tunaenjoy
2026-07-02 20:24:25
65
iam_ammy178
iam_Ammy :
This is me nilishawai kwenda kwenye interview wale wenzangu walijua mm ndio nawafanyia interview 😂😂😂
2026-07-02 20:56:48
104
its.najmah2
Najmah💫 :
kwaiyo Hela tunatoa wapi😩😩😩
2026-07-03 10:59:24
18
user7073880691441
Mr kaicy....or mr vision :
ni kwel...hiyo hali ndio naipitia
2026-08-16 16:53:59
1
mor3_en
_.Momor😂🧸💕 :
😂😂😂ndo maaaana nimeacha kazi leo😭😂😂
2026-07-03 16:45:58
13
ally.juma616
Ally Juma :
[Sticker] nakupenda bure
2026-07-02 14:21:58
10
user8257404351540
Ms:JM🥰 :
Facts,but sijui Ata nalia nini
2026-07-02 14:17:58
11
.peter.packers
PETER PACKERS :
hivi nikuulize swali mbona mimi kila ninachotamani nakipata lakini inategemea na jambo ninalotamani hata ikichelewa hua napata sasa najiuliza mimi ninani naomba nisaidie
2026-07-02 19:57:02
19
msjewel14
ceciekindole🌺🇹🇿 :
yani ni mimi kabisa nimefanya kazi naacha mpaka nimefungua biashara yangu 🙏
2026-07-03 15:12:09
21
kingdavid3443
Daudi~ official :
Wewe dada umetumwa na aliyekutuma namjua Asante.
2026-07-22 09:14:00
12
user4971702702333
Susan gee15 :
mimi ikienda sana ni 3months🤣🤣
2026-07-03 05:56:29
10
user2158073142523
Hammy jr :
dah mm sikumoja nilipoona mambo magumu nikaanza kupambana mwenyewe aisee namshukuru mungu nahisi ajira ya kuajiliwa ningechelewa.
2026-07-05 06:07:05
9
alpha_ibra
alpha.KAGOMA :
ansante kwa somo ila Unazunguka sana Punguza repetition
2026-07-04 17:03:49
10
_samour
salbanks03 :
na wanaojua hili wanapenda sana kutusaidia na mipesa ya bure then boom they're blessed🤗☺️💞
2026-07-04 13:07:59
6
shangazi_wa_mtwara
Lady Halima :
Mungu anifikishe kwenye wakati wangu
2026-07-03 21:42:40
6
hiro255_
Hiro nakamura :
Ningeiona hii miaka miwili iliyopita sasa hivi ningekuwa mbali.....Ahsante madam
2026-07-03 20:38:41
9
febi68964
febi :
nimeheel sasa mummy🥰🥰🥰 nilikuaa nadhani ni madhabahu
2026-07-03 09:31:20
10
marthawatson24
Martha W ᥫ᭡.ִֶָ𓂃 :
Asante kwa kuongea na Mimi mapema dada 😩🙏
2026-07-03 17:12:43
5
witneskindole1
witness kindole1 :
safarii hii nimejitahidi nimekas miaka 6 lkn bado naona kiza tuu
2026-07-23 16:33:03
1
anaya.tz.anaya
anaya tz anaya :
so choosen asifanye kazi atakulaje ataishije
2026-07-31 14:12:53
1
user7635685562512
user7635685562512 :
Acha tu nipite sababu haya ndio mapito ninayopitia
2026-08-14 21:39:40
1
ramadhan.masud0
Ramadhan Masud :
nashukuru niko kijana Kuna mtu aliniambia fanya biashara sio ajira yule mtu 🙏🙏
2026-08-04 10:43:03
1
mr_heat75
Mr_heart :
Ngoja nikupe stori kidogo shangazi yangu, mimi hapa nilipopanga juzi jumamosi niliamka asubuhi kuna kazi nilienda kuifanya, japo sio kawaida yangu kuamka muda huo asubuhi sana, basi nikaenda kuifanya iyo kazi baada ya kumaliza nikasema nirudi kupumzika, baadae nitarudi mjini, iyo yote kwa sababu sijaajiliwa, basi nilivyorudi kupumzika nikiwa nimelala huku sijalala yani nikiwa kati ya usingizi na kama kuwa macho, mlango wa ndani kwangu nilikuwa nimeufunga lakini nikaona kama mtu kaingia chumbani kwangu alafu pale nilipolala akaja akaniwekea mkono, nilipojaribu kupiga kelele nikamuana ananiachilia anafungua mlango anatoka, sihisi ile kama ndoto shangazi akili yangu inaniambia kweli
2026-08-16 19:22:08
1
queenzuu121
👑 Queen 👸💋 :
Mi napigwa vita jaman hadi nasema Mungu kwani hanioni 🤗 na hii kuota pesa nyingi Sana kipenz imeakaaje alafu na nikiota ndoto inakua kweli na nikimuhisi Mtu vibaya inakua kweli
2026-08-17 09:48:38
1
sparrow49098
Sparrow :
Mimi huwaga najiuliza iv kwann watu wengi wanafanikiwa kupitia mimi lakini mimi aaah! Na nawasaidia kufanikisha mambo yao lakini yangu yanapinda
2026-08-04 04:41:04
1
To see more videos from user @devotajs, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About