@samol.automotives: MATUMIZI MAZURI YA UKANYAGAJI WA CLUTCH KWA DEREVA NDIO UTUNZA CLUTCH PLATE YAKO. ✅ MALORI BORA ✅ VIPURI BORA ✅ GHARAMA NAFUU 📍: TUNAPATIKANA TABATA MATUMBI, NELSON MANDELA ROAD, DAR ES SALAAM. 📞TUPIGIE SIMU : +255 752 600 700 🚛''SAMOL AUTOMOTIVES TIBA YA GARI YAKO'' #trendingreelsvideo #highlights #challenge #viralvideotiktok #fyppp
hakuwezi kutokea moto kulingana na matilio yaliyo tengenezea pet clutch
2026-07-03 06:26:13
3
user2444081065066 :
asirimia kubwa dereva ndio anaweza kuunguza clutch maana muda mwingi anakuwa haachii penda ya clutch ndio inasababisha kuunguza
2026-07-03 06:49:42
3
Winner Wilfed :
na klachi ikifa unatakiwa ufatilie kwa unfani sana atasili ya Ken shafi ikivuja oil inauwa klachi plet
2026-07-03 07:27:03
2
familiar :
uyu kaka kaongea ukweli
2026-07-03 09:59:33
1
said safi :
clutchplate inategemeana na ubora clutchplate ya lakimbili80 uwezi kuilinganisha na clutchplate ya laki8
2026-07-03 06:54:57
3
Amani japhety :
asilimia kubwa ni dereva kwenye kubalansi mguu wakati wa kuachia ili gari ipate kuondoka
2026-07-03 15:09:47
2
sr71 blackbird :
wanaosema kufunga vibaya sikubaliani nao kwa asilimia nying. kwakuwa kama clutch plate ni ile yenye pande mbili, nikimaanisha flywheel side na upande wa presure. ukigeuza huingizi gia.
ukisema labda hukukaza bolt, kama zimelegea zitakatwa.
upande wa dereva kidogo ni asilimia nyingi kidogo ila kwa dereva alietoka kujifunza jana juzi. na hilo nikutokana na kutokutoa mguu kwenye clutch
kingine master cylinder ikiwa mbovu. ukikanyaga inasukuma ila ukiachia inablock mafuta kurudi yote hivyo servo inabaki ikiwa imepush kidogo au sana. kingine ni gari unaipa mzigo mkubwa kuizidi. inakubali kwenda ila inakuwa nislip
cha mwisho na kwa uchache ni ubora wa klach plate yenyewe.
ila nikakumbuka hata wale mafundi wanaopakaga top shaft grease ili izame kiurahisi au upaka release bearing grease nyingi. ile grease akirukia kwenye clutch plate inai haribu.
2026-07-05 16:48:31
0
rashidi Mohamed :
sawa gari inaweza kuunguza plate clutch kulingana na mazingira na gear inayotumika au mwendeshaji mwenyewe kushindwa kusoma mazingira kuwa mzigo alopakia na mlima anayopanda gari itashindwa na ndio pale sasa clutch inapata changamoto.
kuna utelezi pia gari kukwama ile kanyaga achia mpaka inaanza kutoa harufu hiyo ndizo njia ya clutch kwisha.au kubadili gear na hutoi mguu kwenye pedal ya clutch maana yake huenda unakanya robo bila kujua.
2026-07-09 17:10:41
0
emmanuel :
Kuna jamaa alitoa gari Dar-Tunduma km 950+ bila shida clutch Iko poa, ila waliopewa kazi yakuivusha gari toka parking Hadi border hapazidi km 5 waliunguza clutch
2026-07-11 10:39:05
0
Felix_VECO :
Tatizo la cluch ni ubora wake,Makosa ya kiufundi wakat wa ufungaji na mtumiaji wa chombo pia anaweza kusababisha
lakin hata utumia kwa usahihi vip mwisho wa siku lazima itaisha tu
2026-07-03 10:41:14
1
Aries 21st March. :
cluth plate inaweza kufa kwa mambo matatu ikiwa itafungwa vibaya au matumizi mabaya ya driver au ikiwa ni ni fake umenunua huko kwenye vibanda vya ajabu ajabu, lakini ukinunua bidhaa kwenye maduka yanayojulikana kuleta Spears original na kwa bei nafuu kama @Samol Automotives hapo lawama ibaki kwa fundi na dereva wake
2026-07-02 17:49:54
6
To see more videos from user @samol.automotives, please go to the Tikwm
homepage.