@van_boe_11:

Van
Van
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 02 July 2026 15:41:33 GMT
267471
4058
184
355

Music

Download

Comments

usermadcomedy
BuddaTz official :
wow good
2026-07-25 14:43:49
0
kingmedia69
𝑲𝑰𝑵𝑮𝑴𝑬𝑫𝑰𝑨 :
Uyu 90 anayo zungumzia ni ipi ya kula mwezi na vipi kuhusu usafiri nani anatumia 1000 kwa siku enhe watu wangu wa afya bima 25000 wapi or ya wanyama
2026-07-26 12:32:27
1
eva.damian50
Eva Damian :
me nimependa lakini mbona hamna sadaka apo
2026-07-21 10:28:44
5
misshellen23
💞,,,It is ianmom :
hapo mimi akiba ingekuwa 180000 hadi 200000 kabsaa inategemea na kazi ni ya kudumu au ni zile siku yoyote unaachishwaa
2026-07-22 15:22:27
2
joshua.yonathan0
Joshua Yonathan :
nimependa.mwandiko tu🤣🤣
2026-07-22 17:41:14
1
13.g.x
M.G.X group :
nimejalibu lakni mungu nae kapanga lake
2026-07-22 17:38:36
1
8991gmail.com
Habiba :
uko vizuri mashallah hapo kwenye chakula elf 90 mm hapana Maan nakula mara moja Kwa cku
2026-07-23 11:44:25
1
abdulmalikhassani06
@Itsryker👑🖤 :
piga bajeti ya 250k
2026-07-21 19:51:11
0
angiequeentz3
Angie⚘queen👑 :
mmmh hapo kwenye vocha jmn
2026-07-25 16:49:04
0
lauliangolodian
laulian 45 :
na ss walak mbili tupe latba
2026-07-24 06:56:38
1
user3578820811524
daynes🎧🎸❤️ :
nipe ya laki na nusu
2026-07-23 10:58:54
1
vaileth.kiyeyeu
Vaileth💕 :
zaka je
2026-07-25 10:50:32
0
ritaeliya56
ritah collection🇺🇬🇹🇿😘 :
Yan akiba 25?
2026-07-23 09:35:33
1
antonydaudi6
Tony__unbreakable# :
fanya ya 150000
2026-07-22 11:29:35
0
kelvinkimela583
Kelvin Kimela :
duh hapo kwa mavazi ni impsbl🥺
2026-07-21 13:55:37
1
user1298140397920
Hubby123 :
Duu mwandiko mzur..na malengo
2026-07-22 05:27:27
0
prince.vpac
Prince vpac :
Unarahisisha mambo mkuu 😂😂😂, hapa tuwasalmie wasomi , wasomi Hi 👋
2026-07-21 12:54:17
1
fifikidoti
fifikidoti :
na tuxiokya na kazi tulike wap?
2026-07-22 06:49:06
0
guspecialcrypto
Digital marketing :
Sjaona sadaka
2026-07-23 15:29:48
0
2478suji
whatner👔 :
hapo tutakuwa masikini Kila kukicha,haiwezekani pesa yote iishie kwenye vitu bila kuwa na akiba
2026-07-21 10:54:00
0
ommy093
gee 0mmy tz. :
true life 💪
2026-07-20 19:06:06
2
arishnyaronga
Arish .KJ :
kwenye kodi apo na umeme labda sio kwa Dar, mim nalipa umeme 54 elfu kwa mwez, kodi ya chini laki 150 . mwez
2026-07-22 14:23:58
0
fredymdktz
~F. valverde☆ :
25000 ndio akiba inamaana kwa miez 12 ni 300000 kwa mwaka kwa miaka 10 m3 miaka 30 no milion 9 hiyo 😂😂😂😂 tutaften kaz jaman
2026-07-23 19:36:00
0
dadyr11
DadyR❤️ :
sasa 90 mwezi mzima unakulaje mpka ifike khaaa me kuajiriwa hapana nitakufa njaa
2026-07-21 20:08:32
2
baka.mwanya
baka mwanya :
kweli kaka angu
2026-07-20 19:05:07
0
To see more videos from user @van_boe_11, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About