@bongo.media1: Mbunge wa viti maalum Malkia Keysha ameeleza kuwa baada ya Mbunge wa Kigoma Mjini Babalevo kuikataa taarifa yake alikuwa sehemu ya kazi yake. "mimi na Baba levo ni marafiki hata pale hakukasirika na tulipeana mikono" amesema Malkia Keysha