@kijanakataakutumika: Kuna msemo unasema hapa dunia tunaishi kwenye mfumo wa "Survival of the fittest" yani ukiona umepata ujue kuna mtu kapoteza na katika kutafuta lipo kundi kubwa ambalo halijali wangapi wataumia ili kutimiza malengo yao. Kama hawalipwi kwenye harakati Mere angemwambia Jakaya hakuna hela inayopatikana kwenye harakati, Hakuna nchi inafadhili harakati lakini ukimya wake umejaa majibu mengi. Leo unaona Da Mere eti anamkaanga Kikwete! kweli maisha ni gwaride Kikwete huyu aliyempekeka Bungeni awasaidie Watanzania kupata katiba mpya akaishia kudaka posho na kulala mbele. #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30

Tanzania zone
Tanzania zone
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 02 July 2026 21:55:36 GMT
10350
226
9
22

Music

Download

Comments

mkasiwa80s
mkasiwa :
Kuna kitu nimejifunza hapa
2026-07-03 12:22:19
1
manvet
manvet :
Duuh
2026-07-03 00:28:04
1
notyabdullahmkwalia
Ulama :
my president
2026-07-03 11:46:17
4
ajathumani
user1261345336987 :
Best President ever.
2026-07-03 17:51:34
0
heis_kareem45
suleiman kibanda sr :
rais wang Bora kabisa
2026-07-03 13:37:16
0
kibona.mpemba
Kibona Mpemba :
mnafik anajijanyaga
2026-07-03 10:15:09
0
prospergaspe_mosaka
prospergasperurio :
weee hatuna jeshi, mahama, bunge, wala vyombo vya habari, msituzuge
2026-07-03 09:54:29
0
hajjisenior
Mr MP :
jizi
2026-07-03 18:19:48
0
To see more videos from user @kijanakataakutumika, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About