@mabilikamachinery_ltd: 🌽🚜 Hivi ndivyo Mabilika Machinery and Innovation Ltd tulivyoshiriki kwenye Maonyesho ya Sabasaba Bungeni - Jijini Dodoma. Moja ya vivutio vikubwa ilikuwa trekta yenye mashine ya kuvuna mahindi yenye uwezo wa kuvuna ekari 6–7 kwa siku. Teknolojia inayobadilisha namna mavuno yanavyofanyika na kuvutia kila aliyefika banda letu. Asante kwa kila mmoja aliyefika kututembelea na kujionea teknolojia zetu kwa ukaribu. Wakulima mnakaribishwa Mabilika Machinery and Innovation Ltd kwa mashine bora na za kisasa 📞/WhatsApp 0798 399 479 📍Goba, Dar es salaam #MabilikaMachinery #SabasabaDodoma #KilimoChaKisasa #MashineZaKilimo #CornHarvester

MABILIKA MACHINERY
MABILIKA MACHINERY
Open In TikTok:
Region: ZA
Friday 03 July 2026 05:09:20 GMT
86981
2723
116
113

Music

Download

Comments

theone_wrld
ITS ME :
Hamna kitu, Tractor gani hizo mabati ya milango.
2026-07-03 09:31:46
20
beckaphotographer1
@Am ds becka📸 🇹🇿🧿 :
safi sanaaaaaa kitu nachokipenda nikuona taifa linaweza kufanya ubunifu kam huu🔥🔥🔥
2026-07-03 07:09:52
25
mahmoudjr112
Mahmoudjr112 :
we must be proud of ours, good start
2026-07-04 10:24:30
2
obbymiles
ObbyMiles :
Izo chain mmezijaza hapo mbele hazina hata box vp swala la vumbi na kokoto na usalama wa watumiaji na zinapatikana wapi zikikatika?
2026-07-03 16:06:16
4
chrispintemba
CHRISPINE IMANI :
apo kupata spea ndiyo changamoto
2026-07-03 11:39:01
8
user7529811948688
sing@12 :
ma broo ni ajirin bc mm naweza tengeneza injini kabisa from scratch
2026-07-03 09:53:17
5
godfreymngoni
Ngonifaceless channel :
Hizo ndio elimu tunazotaka sasa sio za Bee keeping and education
2026-07-03 05:31:01
13
smartestpotyhub
POT &PLANT HUB :
kwani hiyo mitambo anazalisha nani?,ni vizuri kujua kutengenza machine pia
2026-07-03 08:45:31
5
pascalanselimo
Sichura Nyara :
trekta baya hvo😃
2026-07-03 19:05:15
1
amosanthony39
King Asa :
we no longer dreaming again keep it up guys.
2026-07-04 11:07:57
1
bomaxon1
stevooooo :
hivi ndo vitu and creativity should be during saba saba
2026-07-03 08:17:02
4
cosmas.mathias.an
Cosmas Mathias Anthony :
safi sana. good 👍
2026-07-03 07:30:16
3
yasinlambada1517
yasinlambada1517 :
Hongera sana kwa kujaribu … keep it up
2026-07-03 13:24:41
3
patrickahayo
patrickahayo :
Hizo chain zq hapo mbele haribu kupata njia nyngine kufanya transmissiom au chain guard
2026-07-04 08:47:28
2
user69945392159443
Matendomgm :
good ,
2026-07-03 12:13:49
1
isayangosha
Isaya Ngosha :
jamani msipende kukosoa kazi wakati upo mwanzo Zaid shaurini Hawa watu kazi yao ni nzur sana
2026-07-04 07:26:04
2
user6015110666582
Big 🌟 FUTURE :
Kuhusu Spea inakuaje
2026-07-03 20:46:50
1
bryan.barabona
BRYAN BARABONA :
keep it up bro
2026-07-04 08:13:45
0
abdulmajidmlala
Abdulmajid Mlala :
mashaallah mungu awazidishie
2026-07-03 06:53:13
3
cha61200
cha :
Hii nimeipenda hasa kwa taifa letu tumechelewa sana. mfikirie zaidi kutumia za gas, baadaye battery na baadaye iwe computerised kwa maana itaingia shamba utaiprogram iingie shambani ilime yenyewe na mwishowe irudi parking. Hili eneo uwekezaji wake ni mkubwa mno mashine ni nyingi mno hongereni sana
2026-07-03 16:27:18
0
.bo0038
𝕊𝕠𝕦𝕕 bo𝕪@% :
fungus awe panoramic nawe
2026-07-03 12:50:52
1
johnseleli575
john seleli :
safi sana haua ndiyo tunayataka
2026-07-03 09:34:58
1
jacobmwamende
Jacob Mwamende :
safiiiiiii sanaaaaaaa mkulima na Tanzania hoyeeee
2026-07-03 09:19:47
2
alexwaryoba
galaxy voice :
material zote mmezinunua dukani kuna ubunifu hapo kweli au mmefanya kuunganisha tu
2026-07-05 08:29:41
1
jose.mmangapepe.m
Jose Mmanga(pepe madenge) :
tunaomba tulione likivuta ardhi,
2026-07-04 19:29:52
0
To see more videos from user @mabilikamachinery_ltd, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About