@bongofive: Jamhuri ilifungua shauri hilo la maombi ya mapitio Februari 24, 2026, ikipinga uamuzi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, kuikatalia maombi yake ya kutaka iruhusiwe kuwasilisha ushahidi wa nyongeza katika kesi ya uhaini inayomkabili mwanasiasa huyo. Shauri hilo la mapitio namba 7203216/2026 limepangwa kusikilizwa leo, Ijumaa, Julai 3, 2026, na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani litakaloketi Dar es Salaam, linaloongozwa na Jaji Augustine Mwarija. Majaji wengine ni Zainabu Muruke na Amour Khamis.
Bongofive
Region: TZ
Friday 03 July 2026 11:58:09 GMT
Music
Download
Comments
doctor*b :
7/7
2026-07-03 23:10:26
0
Professor silence :
🙏🙏🙏
2026-07-03 16:21:11
1
dalali_kigamboni_bigwa :
💯💯💯🙏
2026-07-03 16:18:36
0
Edman Godfrey :
🥰
2026-07-03 13:25:57
0
Nahodhambishi :
🥰🥰🥰
2026-07-03 12:06:36
0
abraham kahai :
😂😂😂
2026-07-03 18:31:00
0
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm
homepage.