@nyayotv: Daah! Ila Wanageria bhana!😳 Wanaume watatu walikamatwa baada ya kudaiwa kujaribu kupanda ndege kuelekea Dubai wakiwa wamejigeuza na kuwa kama wanawake wa Kiarabu. Kulingana na ripoti, walipaka vipodozi, walivaa ushungi, na mavazi ya kitamaduni katika jitihada za kuepuka kugundulika wakati wa ukaguzi wa usalama wa uwanja wa ndege. Mamlaka zilifichua mbinu hiyo kabla hawajakamilisha safari yao, na kisa hicho kisicho cha kawaida kilisambaa kwa kasi mtandaoni kwenye mitandao ya kijamii. @Mnakole Emmanuel ✍️ Follow us 🙏 #creatorsearchinsight #fyp #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya #fypシ゚viral