@veriafya: Je, wajua? Wanaume wanaopata changamoto ya kuvimba kwa tezi dume huwa na hatari kubwa ya kupata changamoto za Figo ambazo kama hazitashughulikiwa mapema hupelekea Ugonjwa sugu wa Figo. Haya yamesemwa na Dkt. Salim Mfungahema, Bingwa wa Magonjwa ya Figo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kupitia TBC Online

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 03 July 2026 14:24:38 GMT
4211
68
3
9

Music

Download

Comments

kinyonyo1
kinyonyo :
mimi mkojo wangu manjao na una povu
2026-07-03 18:38:15
0
user8709283067051
#uncle zack..B13 for life :
utacheki vip bloo
2026-07-03 16:43:24
0
user8709283067051
#uncle zack..B13 for life :
unafaa upime test gani
2026-07-03 16:43:47
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About