Gideon Gideon I agree with you for the 2nd time😂.. Tony is a comedian
2026-07-03 16:24:33
25
RG @21 :
100% I agree.
2026-07-04 05:33:31
0
tshimangadzo_mulaudzi🇿🇦🇹🇿 :
au anatumia ChatGPT 😂
2026-07-04 06:17:05
7
Geoffrey :
Yule jamaa ni content creator 😁
2026-07-03 23:22:59
9
Amandi Missy :
mmmmh
2026-07-04 09:51:36
0
Agnes Felix :
Me Ndio sijawahi kumuelewa hata Siku moja
2026-07-04 06:54:01
5
milcah :
Kuna wimbo wako mmoja hua unanibariki sana “NDANI YANGU” feat Mruma hua ninausikiliza kila ninapo jiandaa kwenda job barikiwa bro
2026-07-03 15:51:36
6
Kadesh kukufarm :
Yan mimi tangu mwanzo namuona tony kama motivational speaker kwakweli
2026-07-04 05:57:58
2
user8778231187781 :
uko sahhi mtumishi
2026-07-04 07:29:47
1
user3965863951869 :
kwel brother
2026-07-03 16:52:40
3
kingskings893 :
uko sahihi sana sana.
2026-07-03 17:42:37
4
Sarah Samwel :
wenawe kwendaaaa
2026-07-03 19:25:02
0
Katie Andrew :
Hapo umeongea point🙏👏
2026-07-03 16:55:00
2
GOD S FAMILY :
nakuelewa sana kaka.
2026-07-03 16:33:56
2
MICK ZEGU :
HAKIKA
2026-07-04 06:05:19
0
Pendo Lauwo :
Katika Biblia, kuna matukio mawili muhimu yanayohusisha fimbo kugeuka kuwa nyoka:
1. Musa – Mungu alimwagiza Musa kutupa fimbo yake chini, na ikageuka kuwa nyoka kama ishara ya nguvu za Mungu. Hili lilitokea kwanza alipokuwa akikutana na Mungu katika Mlima Horebu. (Soma Kutoka 4:1–5.)
2. Baadaye, Haruni, kwa maagizo ya Musa, alitupa fimbo yake mbele ya Farao, na nayo ikageuka kuwa nyoka. Kisha wachawi wa Farao walifanya vivyo hivyo, lakini nyoka wa Haruni akawameza nyoka wao. (Soma Kutoka 7:8–12.)
Kwa hiyo, jibu linategemea tukio unalorejelea:
* Musa alirusha fimbo yake na ikageuka kuwa nyoka mbele za Mungu kama ishara ya wito wake.
* Haruni alirusha fimbo yake mbele ya Farao na ikageuka kuwa nyoka wakati wa kumtaka Farao awaachie Waisraeli waondoke Misri.
2026-07-03 17:03:29
14
Sultan A Sultan :
Soma Biblia Wewe
2026-07-04 06:34:18
1
DANI TRONICS :
brother unaijua injili sana ila watu awawez kukuelewa
2026-07-03 19:52:59
3
Salpa :
Wewe ndio haupo sahihi katika ulichokosoa. Two different incidents happened, moja ilikua kati ya Mungu na Musa nyingine katika Musa, Haruni na Farao. Ongeza umakini
2026-07-04 05:48:59
1
🇨 🇴 🇼 🇧 🇴 🇾 255 :
kapola sio mchungaji
2026-07-04 05:27:07
1
Mtimbz :
UPO SAHIHI!!! Mbele ya Farao, aliyerusha fimbo na ikageuka kuwa nyoka alikuwa Haruni, kwa amri ya Mungu kupitia Musa. Kutoka 7:8–12.
Mungu alimwambia Musa amwambie Haruni arushe fimbo yake mbele ya Farao, na fimbo hiyo ikageuka kuwa nyoka. Wachawi wa Misri pia walifanya vivyo hivyo, lakini nyoka wa Haruni akameza nyoka zao.
Musa naye pia aliona fimbo yake ikigeuka kuwa nyoka alipokuwa katika tukio la kichaka kilichowaka moto. Kutoka 4:1–5.
Mungu alimwambia Musa atupe fimbo yake chini, nayo ikageuka kuwa nyoka. Hii ilikuwa ishara ya kumthibitishia kwamba Mungu alikuwa amemtuma. HUYU T.K WASHIRIKI WAKE HAWASOMI BIBLIA KUIELEWA NADHANI.
2026-07-03 15:56:48
2
Jessie 🦋🤍.. :
his high IQ ndo inawatesa watesi he understands maandiko alot
2026-07-04 04:32:56
1
David Myalle :
Shida ni Kwamba Mmefanana
2026-07-04 01:05:42
1
Laur Tajiri :
nakuunga mkono 100%
2026-07-03 19:14:07
0
To see more videos from user @itsgideonpaul, please go to the Tikwm
homepage.