Wallahi kaka ,Allah amekujaalia elimu na hekma ...Allah akupe kila hitaji LA moyo wako🥰🥰🥰🥰🥰
2026-07-04 15:01:31
24
_DELLO FMT :
Sahihi kabisa, Mada inabidi ziendane na Mienendo ya maisha ya kila siku pia. Yaani mada imguse mtu akiona kabisa hii ni hali niliyonayo mimi, hawezi kulala mtu.
allah awafanyie wepesi, Allahuma amiin🤲❤️
2026-07-04 10:44:33
19
official_Hamidu :
asalaam aleykum sheikh naomba kuuliza je, katika swala unaruhusiwa kuomba dua kwa kiswahili???