@mshindo_tv: ---Baadhi ya wananchi wameonekana kutoridhia juu ya tukio lililo jitokeza hivi karibuni la baadhi ya vijana wakicheza muziki mtaaani huku wakiwa wameshika mapanga mikononi. jambo lililopelekea Serekali kupitia baraza la sanaa kuchukua uamuzi wa Kuzuia kutoa vibali vyote vya kupiga muziki mtaani maarufu (rusha roho) Tokea kusambaa kwa video za vijana waliokuwa wakicheza kinyume na maadili na wakiwa wameshikilia mapanga jambo ambalo limefanya Serikali kupitia Baraza la Sanaa kuingilia kati na kutoa Tamko la kuwa Marufuku Upigwaji wa muziki wa Rusha Roho Mitaani na hapa Aanaeleza. Kwa habari na matukio mbali mbali tufuatilie kupitia mitandao yetu #Mshindo tv.