@bianca: pense como uma diva 💋

Bianca Boca Rosa
Bianca Boca Rosa
Open In TikTok:
Region: BR
Friday 03 July 2026 21:00:00 GMT
11558
920
14
3

Music

Download

Comments

debinhamodas
debinha modas ✷ :
MÃE 💕💕💕
2026-07-03 21:08:37
3
byjuliaemanuele
Júlia Emanuele :
Uma divaaaaa! ❤️
2026-07-03 21:06:35
1
bah.valente
Bárbara Valente :
Eu amo como ela consegue ser perfeita em todas as skins 💖💖💖
2026-07-04 02:04:58
0
ranyhallejesus
ranyhallejesus :
Meu sonho
2026-07-04 02:15:00
0
thaaisoliveira95
Thais Oliveira :
U-A-U 😻
2026-07-04 00:29:37
0
neralii_
neralii_ :
Me assume logo
2026-07-04 00:03:29
0
lorenecsdit
Lorena. 🇸🇪💸 :
linda 😍
2026-07-03 21:09:44
0
blogdasidu
Ana Paula| Blog Bh :
Ajudando contas pequenas
2026-07-03 22:33:25
0
ju_murtha
Julia Murtha :
cheguei cedoooo
2026-07-03 21:16:03
0
alinetorresbernardo
Aline Torres Bernardo :
Maravilhosa 💖
2026-07-03 22:46:34
0
ju_murtha
Julia Murtha :
divonica
2026-07-03 21:16:42
0
To see more videos from user @bianca, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu hali ya usalama nchini, likisema kuna watu wanaojihusisha na uchochezi unaolenga kuwashawishi wananchi kushiriki katika vitendo vya vurugu vinavyoweza kuhatarisha amani na utulivu wa nchi. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa Makao Makuu ya Jeshi jijini Dodoma, JWTZ limesema amani na utulivu uliopo nchini umetokana na uzalendo wa wananchi na ushirikiano wao na vyombo vya ulinzi na usalama, hali iliyowezesha shughuli za maendeleo kuendelea bila vikwazo. Jeshi hilo limeeleza kuwa vitendo vya uchochezi vinaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo majeruhi, uharibifu wa mali, kuvuruga shughuli za kila siku za wananchi na kuathiri uchumi wa taifa. Kutokana na hali hiyo, limewataka wananchi kupuuza wito wowote unaohamasisha vurugu na kuendelea na shughuli zao za maendeleo kwa utulivu. JWTZ pia limeonya kuwa litachukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayehusika na uchochezi au vitendo vya kuvunja amani kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Sheria ya Ulinzi wa Taifa. Aidha, limeeleza kuwa lina mamlaka ya kushirikiana na vyombo vingine vya dola katika kudhibiti vurugu na kuhakikisha usalama wa wananchi na mali zao unalindwa. Jeshi limewahimiza wananchi kutoa taarifa kwa viongozi wa vijiji, mitaa pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuhusu dalili zozote za uchochezi au vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani. Pia limewahakikishia wananchi kuwa litaendelea kutekeleza wajibu wake wa kulinda nchi, Katiba na usalama wa taifa kwa weledi, utii na uzalendo. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Kanali Sylvester Mangure.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu hali ya usalama nchini, likisema kuna watu wanaojihusisha na uchochezi unaolenga kuwashawishi wananchi kushiriki katika vitendo vya vurugu vinavyoweza kuhatarisha amani na utulivu wa nchi. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa Makao Makuu ya Jeshi jijini Dodoma, JWTZ limesema amani na utulivu uliopo nchini umetokana na uzalendo wa wananchi na ushirikiano wao na vyombo vya ulinzi na usalama, hali iliyowezesha shughuli za maendeleo kuendelea bila vikwazo. Jeshi hilo limeeleza kuwa vitendo vya uchochezi vinaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo majeruhi, uharibifu wa mali, kuvuruga shughuli za kila siku za wananchi na kuathiri uchumi wa taifa. Kutokana na hali hiyo, limewataka wananchi kupuuza wito wowote unaohamasisha vurugu na kuendelea na shughuli zao za maendeleo kwa utulivu. JWTZ pia limeonya kuwa litachukua hatua kali za kisheria dhidi ya mtu yeyote atakayehusika na uchochezi au vitendo vya kuvunja amani kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Sheria ya Ulinzi wa Taifa. Aidha, limeeleza kuwa lina mamlaka ya kushirikiana na vyombo vingine vya dola katika kudhibiti vurugu na kuhakikisha usalama wa wananchi na mali zao unalindwa. Jeshi limewahimiza wananchi kutoa taarifa kwa viongozi wa vijiji, mitaa pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuhusu dalili zozote za uchochezi au vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani. Pia limewahakikishia wananchi kuwa litaendelea kutekeleza wajibu wake wa kulinda nchi, Katiba na usalama wa taifa kwa weledi, utii na uzalendo. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Kanali Sylvester Mangure.

About