@bukwimbajohnbukwimba2002: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umetekeza Maduka Mtaa wa Lumumba Wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza, Mto ambao umeanza majira ya saa 2 usiku huu. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lipo eneo la tukio likiendelea kufanya jitihada za kuuzima Moto huo

BJB ONLINE TV
BJB ONLINE TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 03 July 2026 20:20:44 GMT
4976
42
3
2

Music

Download

Comments

khamis.muhozya
Khamis Muhozya :
lini hiyo????
2026-07-04 02:19:28
0
user8204529650271
okar :
eeeee jamani nando tunategemea
2026-07-04 12:18:10
0
To see more videos from user @bukwimbajohnbukwimba2002, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About