@castingzekito:

CASTING ZEKITO
CASTING ZEKITO
Open In TikTok:
Region: BF
Friday 03 July 2026 21:24:51 GMT
151756
15268
1135
462

Music

Download

Comments

ibecompao
ibecompaoré4015 :
on n'est fort dès, garçons quoi 🥰🥰🥰🥰🥰🥰💪💪💪💪💪💪💪💪💪🥰🥰🥰
2026-07-05 16:27:37
1
youssouf.telecom.f
Youssouf Telecom & Frère :
j'ai déjà terminé la vidéo dans ma tête 😂😂😂😂 tu es fort fort fort fort 💖❤️❤️
2026-07-05 18:46:25
1
mecfrais88
MEC FRAIS :
mais c'est Aziz c'est pas toi
2026-07-04 16:06:02
7
a.z.i.z050
PRINCE🍫💫🔛 :
ta aziz wa noonn
2026-07-04 14:44:42
7
mahamadysaba4
madez inter :
20 sur 20
2026-07-04 15:36:12
6
kadreouedraogo761
kdg :
qxkyeavfagw
2026-07-04 17:42:31
1
ousseniouili67
ouiiousseni :
2026-07-04 20:46:28
3
jai.ma.cabourg
isma kaboré 12=12 :
😂😂😂
2026-07-04 12:57:04
3
user8113812606237
user8113812606237 :
partie 2
2026-07-04 15:12:48
2
puchavibe
PUCHA :
yalmaaaa
2026-07-04 19:47:29
1
petit.boucan.jr
Petit boucan jr🇳🇬🇧🇫 :
2026-07-04 13:50:31
1
oudraogo.sayouba74
saïco le king :
c'est reçu
2026-07-04 16:35:58
1
moussa.sawadogo280
Moussa Sawadogo :
c'est ta petit sœur non elle te ressemble
2026-07-04 13:58:41
1
zongoaicha11
Maxime Kaboré 226 :
j'aime
2026-07-03 23:21:57
1
niorzy226
ZUNIOR :
Tu es fort et tu es la 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2026-07-04 07:51:20
19
user5970063458750
LA GRÂCE VIVANTE :
va y
2026-07-05 15:23:57
0
amadou.sinpore.12
Amadou sinpore 12 12. :
2026-07-05 17:57:03
0
la.souriante7478
la souriante IBD 🤍🤍🤍 :
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 j'ai rigolé jusqu'à à la fin de mensonges là 😂😂😂
2026-07-05 17:47:40
0
user3661614136745idrissa
idriss CFA :
💪💪💪💪✌✌ses💍👑👫👰 vraiment trist
2026-07-05 17:03:32
0
To see more videos from user @castingzekito, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Takwimu zinaonesha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina maduka ya dawa zaidi ya 400 huku Changamoto kubwa inayowakumba wamiliki ni wateja kutaka kutumia dawa bila kumaliza dozi iliyopendekezwa na mtaalamu. Kutokana na baadhi ya maduka kutokidhi vigezo na masharti ya utoaji wa huduma Halmashauri ya Wilaya ya Geita imefunga maduka 50 ya dawa kwa kushindwa kutimiza vigezo vya utoaji wa huduma bora na salama kwa wananchi. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa halmashauri ya Wilaya ya Geita, Dkt. Modest Burchard, wakati akizindua kikao kazi na wamiliki na wauzaji wa maduka ya dawa ndani ya halmashauri hiyo. Akizungumza wakati wa kikao hicho, Dkt. Burchard amesema lengo la kikao ni kuwajengea uelewa na kuwapatia miongozo sahihi wamiliki wa maduka ya dawa. Hii ni ili kuhakikisha dawa zinazotolewa hazileti madhara kwa binadamu, hususani tatizo la usugu wa vimelea dhidi ya dawa, ambalo madhara yake ni makubwa kwa siku za usoni. Aidha, amewataka wauzaji na wamiliki wa maduka hayo kuhakikisha wanakamilisha vigezo vyote vinavyotakiwa kisheria kabla ya kuendelea na biashara. Lengo ni kuweka huduma za kuaminika na kuzuia kuongezeka kwa usugu wa dawa. Kufuatia ongezeko la tatizo la Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa, maarufu kama
Takwimu zinaonesha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina maduka ya dawa zaidi ya 400 huku Changamoto kubwa inayowakumba wamiliki ni wateja kutaka kutumia dawa bila kumaliza dozi iliyopendekezwa na mtaalamu. Kutokana na baadhi ya maduka kutokidhi vigezo na masharti ya utoaji wa huduma Halmashauri ya Wilaya ya Geita imefunga maduka 50 ya dawa kwa kushindwa kutimiza vigezo vya utoaji wa huduma bora na salama kwa wananchi. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa halmashauri ya Wilaya ya Geita, Dkt. Modest Burchard, wakati akizindua kikao kazi na wamiliki na wauzaji wa maduka ya dawa ndani ya halmashauri hiyo. Akizungumza wakati wa kikao hicho, Dkt. Burchard amesema lengo la kikao ni kuwajengea uelewa na kuwapatia miongozo sahihi wamiliki wa maduka ya dawa. Hii ni ili kuhakikisha dawa zinazotolewa hazileti madhara kwa binadamu, hususani tatizo la usugu wa vimelea dhidi ya dawa, ambalo madhara yake ni makubwa kwa siku za usoni. Aidha, amewataka wauzaji na wamiliki wa maduka hayo kuhakikisha wanakamilisha vigezo vyote vinavyotakiwa kisheria kabla ya kuendelea na biashara. Lengo ni kuweka huduma za kuaminika na kuzuia kuongezeka kwa usugu wa dawa. Kufuatia ongezeko la tatizo la Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa, maarufu kama "UVIDA", Halmashauri imewaagiza watoa huduma katika maduka ya dawa kuuza dawa kwa kufuata maagizo ya daktari. Pia watoe ushauri kwa mteja ili hakikishe anakamilisha dozi aliyopewa. Mfamasia wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Bw. Simon Kamwanga, amewataka wamiliki wa maduka ya dawa kuacha tabia ya kuuza dawa kiholela. Amesema tabia hiyo ndio inayosababisha madhara makubwa ya kiafya katika jamii.

About