@dcea_tanzania: Je, unajua kwamba si kila energy drink ni salama? Katika operesheni ya pamoja, DCEA kwa kushirikiana na GCLA, TMDA na TBS ilibaini na kukamata vinywaji aina ya TRIP Energy Drink vilivyokuwa na kemikali ya THC, kiambata kinachopatikana kwenye bangi. THC inaweza kuathiri mfumo wa fahamu, kuchochea magonjwa ya akili, kuongeza uwezekano wa vitendo vya kihalifu na kuhamasisha matumizi ya dawa nyingine za kulevya. Kabla ya kununua au kutumia energy drink yoyote, hakikisha imeidhinishwa na mamlaka husika. Kataa Dawa za Kulevya, Timiza Malengo Yako. #DCEATanzania #DCEAOnlineTV #KataaDawaZaKulevya #TimizaMalengoYako #creatorsearchinsights

Official DCEA Tanzania
Official DCEA Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 04 July 2026 02:35:27 GMT
72483
1059
80
1156

Music

Download

Comments

lwoga_agronomist
Comfort Lwoga :
Swali zilipita badari ipi?
2026-07-04 16:16:07
74
riz96052
Riz :
TBS walikuwa wapi wakati zingia nchini?
2026-07-05 09:00:43
42
aknizar
AK Nizar :
methylated spirit is alcohol...
2026-07-06 17:20:12
0
beyondvidz
Beyond videos :
TRIP sio Energy drink na haina THC, ina CBD ambayo sio psychoactive substance. Mmepuyamga hapo!
2026-07-05 19:00:32
9
victoria.gl20
Victoria GL :
Sasa bangi inashida gani jamani
2026-07-04 19:26:58
13
nabzy.0
Nbzy_art👩🏽‍🎨 :
Like really l,dont we have more pressing matters to tend to?these do nothing!!!!!whyyyyyyyyyyy
2026-07-05 06:04:56
3
kileo37
Kileo :
Mkuu, kapime chai KT- shop!
2026-07-05 11:27:59
3
amicanasir
amicanasir :
zpelekeni Arusha
2026-07-05 22:01:09
1
olaedothequeen
Olaedo🍀 :
ziliingiaje bongo hadi kufika supermarket???
2026-07-05 05:16:42
15
user8374813084597
user8374813084597 :
kumbe bangi tu hiyo safi msizifungie mi naitaka
2026-07-06 06:40:41
1
kevokentrockerz
"kêñtrõçkër..✊" :
Niko na stock 😅😂🫴
2026-07-04 19:38:53
4
bibi.cocu
Bibi Cocu :
Naamimi bidhaa zinazouzwa supermaket ndio zinaaminika zaidi kuliko sehemu yoyote sasa ndio nini.
2026-07-05 15:22:27
1
anko_china
Anko_china :
kwani watu wangapi ninwaraibu wa pepsi
2026-07-05 11:31:13
6
ianog69
IAN OG 🦺 :
Aseee mmezibeba zote nilitaka carton 🥺🥺
2026-07-05 10:29:49
6
isihakakatabalo2
Went Extinct :
hakuna energy drink ambayo ni salama
2026-07-04 19:48:12
5
jamie_escobar
Marathon Electronics Kahama 🏁 :
KAZI nzuri mkuu
2026-07-04 10:49:17
0
tarimoloveness
tarimoloveness :
kwisha mm 🥹🥹🥹🥹
2026-07-05 13:07:26
0
manondo12
cash money 🤑 💸 :
umesema haijaandikwa, sasa mwenye duka atajuwaje kama kuna bangi ndani?
2026-07-06 08:30:41
1
watu.huru
Watu Huru :
Propaganda hizi
2026-07-05 15:15:45
1
ghytdfhuiijbvfyuh
user250860255 :
Tuelemishwe kuhusu kemikali zinazotumika katika kutengeneza energy drink hapa kwetu.
2026-07-05 13:35:36
0
khamis020
khamis :
kazi nzr hongereni sana
2026-07-04 16:08:09
0
mongifrank5
mongifrank :
Hata maji yote sio salama
2026-07-04 19:06:38
2
str33t_runner
STR33T_RUNNER :
Ziliingiaje Tz
2026-07-05 07:51:27
1
cypher514
Cy514 :
mmhhh ....
2026-07-04 13:56:51
1
rasmic00
rasmi :
je izo Kilimanjaro kuna nini dani yake??
2026-07-05 03:58:44
1
To see more videos from user @dcea_tanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About