@kiwanoexpress: ​Hii hapa ni sababu ya kitaalamu kwa nini unapaswa kubadili gia: ​Ulaji wa Mafuta: Ukiacha gia kwenye 'N', gari inatumia takriban Lita 0.7 kwa saa. Lakini ukiweka 'D', matumizi yanaongezeka mpaka Lita 1.1 kwa saa. ​Kuzembea kwa Injini: Gari inapokuwa kwenye 'D' huku umekanyaga breki, injini na torque converter zinaendelea kusukuma nguvu. Hii inatengeneza resistance na kufanya injini itumie nguvu (na mafuta) zaidi kukabiliana nayo. ​💡 Njia Sahihi: Ukisimamishwa kwenye mataa, badilisha gia lever iende kwenye Neutral (N) kisha utumie handbrake. Gari itatulia na utaokoa mafuta yako! ✅

Kiwano Express
Kiwano Express
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 04 July 2026 06:25:09 GMT
3848
141
0
3

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @kiwanoexpress, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About