@chazymediasports: Wachezaji, Makocha na viongozi wa Azam Fc wamesusia medali za washindi wa pili wa kombe la FA CRDB Cup baada ya mchezo kukamilika kwa kufungwa goli moja dhidi ya Simba Sc katika fainaili iliyofanyika Pemba, Zanzibar.
Mm ni mwanasimba ila sijafurahishwa na hii kitu kwa kweli maana hata ushindi wenyew haunogi
2026-07-05 05:02:17
3
ney 🦋♥️ :
hata ningekuw mmi siwez uonevu mwingi kuliko kitu chenyewe
2026-07-05 05:37:51
1
Said Kamduma :
ingekuwa yanga hapo ungesikia wanatozwa faini million 600
2026-07-05 06:29:17
0
A.D.M :
wako sahihi.. maana refa alipewa hongo maaalum.. awabebe simba
2026-07-05 06:09:05
1
Raymond :
Bongo jau sana, marefa wanapendelea sana Simba na Yanga tu
2026-07-05 06:01:19
1
Happifanus :
Yanga mnaumia sana
2026-07-05 04:45:32
0
omega :
ipo siku ligi itasimama☺️☺️
2026-07-05 06:25:33
0
salhag :
bora wamesusa
2026-07-05 05:52:34
0
user6544829768737 :
watajua wenyewe
2026-07-05 05:57:26
0
M. L :
hiyo ni kweli kabisa ili siku nyingine wajifunze
2026-07-05 06:18:16
0
eliaichimsuya6 :
Aibuuuuu
2026-07-05 05:27:21
0
lilycroc19 :
ligi imefika baya. sana
2026-07-05 04:56:32
0
Golden Heart :
ningeshangaa sn kama wangezivaa
2026-07-05 03:29:14
2
marrymangee :
ni kweli waliwanyima penat ya wazi kasa
2026-07-05 03:53:12
1
festo venas :
walitegemea watufunge😅😅
2026-07-04 19:51:58
1
Jackline Jonathan :
wasuse tu ndiyo vizuri
2026-07-04 18:16:12
2
rodgersndagije149 :
wala wasijali tuko tayali kuwalipia kisasi ngao ya jamii
2026-07-05 04:27:04
1
Elizabeth Tito :
wamefany jambo la maan hata Kam wakapingwa fain tutalipa
2026-07-04 20:31:56
1
user6544829768737 :
wanaoumia ni vyura kulko azam
2026-07-05 05:58:19
0
nyalwesa chuma :
azm mnema Ile ilikuwa penat Ile ilikuwa inje na box fikilien maisha mengine hata mkilamika saaana swala lamarefalii halijaanza Leo tuendelee kuishi yote maisha
2026-07-05 05:33:12
0
fredbonaventure :
sijui nini kifanyike ila simba na yanga wanaharibu mpira wa tanzania kwa kilichofanyika nzanzibar ni aibu sana hata kama azam lile goli alijifunga ila mpira ulikuwa mbovu sana na ulisababishwa na maamuzi mabaya ya mwamuzi na mchezo ulishamshinda alishindwa kuhimili presha ya timu zote mbili,,,kuna haja ya hawa wamuzi kujifunza vitu kwenye hizi mechi zenye ushindani mkubwa na kuacha kando mapenzi ligi zetu zinaenda pabaya sana kwa namna hiii
2026-07-05 05:54:20
0
Dr frank yohana :
kwani walilazimisha kwenda Zanzibar
2026-07-05 04:37:16
0
To see more videos from user @chazymediasports, please go to the Tikwm
homepage.