@premiumseafoodsupplies0_: Wamepatikana! Vijana 5 wa Nairobi wanaswa eneo la silver rock wakiwa ndani ya gari lao walilokuwa wanatumia kama 'base' ya kuficha simu za wizi walizofunga na foil paper wakijepa simu kutoka event ya summer huko lost . Hii ni siku ya 3 wakiiba na walikuwa wanapanga kuingia leo siku ya mwisho kumaliza kile walichobakisha. Kumbe wezi mnakuja na magari yenu kutoka Nairobi kuharibu utalii na jina la Coast? Tokeni hapa na tabia zenu! 🤮👇#Lost #NairobiThieves #CoastIsSafe #FichuaWezi #GariYaWezi