@fundipaparazzi: WANANCHI WA IKUNGWE WAMPIGA MBUNGE WAO 'MKWARA MZITO' Wananchi wa vijiji vya Ikungwe, Ihomasa, Wasa na Mahanzi, Kata ya Wasa wilayani Iringa, wameiomba Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maji ili kumaliza changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama ambayo imeendelea kuwaathiri kwa muda mrefu. Wananchi hao wametoa ombi hilo Julai 4, 2026 wakati wa mikutano ya hadhara iliyofanyika katika vijiji vyao, wakieleza kuwa upatikanaji wa maji ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazohitaji ufumbuzi wa haraka ili kuboresha maisha na shughuli zao za kila siku. Akijibu hoja ya maji, Kiswaga amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza katika huduma muhimu, ikiwemo maji safi na salama. Ameongeza kuwa changamoto ya maji katika Kata ya Wasa imepokelewa na itaendelea kufuatiliwa ili kupatikana suluhisho la kudumu kwa wananchi.
Fundi Paparazzi
Region: TZ
Sunday 05 July 2026 06:35:23 GMT
Music
Download
Comments
gold_perfumes_cosmetics :
Hakunaga muhehe falaaa🥳🥳proud to be hehegirl 💃🏽
2026-07-05 21:17:19
6
saki26_oficial001 :
ila wahehe nawapenda sana familia yang
2026-07-05 18:41:02
6
maiko msigwa :
wabena hoyeeee
2026-07-05 08:07:28
3
kibuga devota :
wahehe oyeeee safi sana kaka big up
2026-07-05 19:34:56
2
Mbwana Lihinda :
safi sana wanyalu wenzangu
2026-07-05 19:16:26
1
Mc Mpoma :
waheh ndyo sisi jmn
2026-07-06 00:20:44
0
Mr HK :
Familia 🥰
2026-07-05 19:05:27
0
Archbody :
safi sanaaaa wananchi wameenza kupaza sauti
2026-07-05 16:06:24
0
mmojawapo :
kesho utasikia haonekani
2026-07-05 14:52:00
3
Salva G Classic :
mitano tena
2026-07-05 16:39:12
1
kimdee87 :
Shangaz yang yule maeeeee
2026-07-05 21:51:02
0
Best :
Kiba Umulonjeee
2026-07-05 18:54:34
0
Tz+255 EFA 🇹🇿 :
bado 😂
2026-07-05 18:53:01
0
Subira :
nachoka mimi
2026-07-05 18:43:09
0
PHANI :
ulonzilee hilo vee baba
2026-07-05 17:47:14
0
obadia mwazembe :
🤣🤣nachenee
2026-07-05 18:02:57
0
Nabii wa family :
daaah nikweli kabisa maji hatuna
2026-07-05 17:31:08
0
KANGEMI BRYTONIC :
uyoo mudesi vayangu
2026-07-05 16:51:41
0
Nabii Camara :
Kumbe ndo kwao huko??
2026-07-05 20:53:02
0
To see more videos from user @fundipaparazzi, please go to the Tikwm
homepage.