@atarman_90: hm😎#vairal #foryour #trending #singapore 🇸🇬#creatorsearchinsights @TikTok @TikTok Bangladesh @Arman Bhuiyan  @💫কালা🔪 @Bass Super Test @valeronhouse

👑⚡️ᴀʀᴍᴀɴ🇸🇬🍁
👑⚡️ᴀʀᴍᴀɴ🇸🇬🍁
Open In TikTok:
Region: SG
Sunday 05 July 2026 08:44:18 GMT
9163
703
26
30

Music

Download

Comments

rsloveboy1
🇸🇬Nahid Hossain🇸🇬 :
হুম বাদার
2026-07-05 08:51:10
4
ratul8_9
Ꮢꫝⲧᴜʟ🥂 :
viar phn ar model koto?
2026-07-05 09:34:50
4
esneide.alves
Esneide Alves :
lindo 🥰🥰
2026-07-05 11:35:53
2
taspiya8111
❤️💖🥀রাজা বিহীন রাজকন্যা 🥰💛 :
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2026-07-05 12:09:25
2
rakib.hasan0461
—͟͞͞★Ꮢ ₳ K Î B͛ 米 🇸🇬 :
🥰🥰🥰
2026-07-05 10:11:30
2
khaleda.aktar229
Nosaiba islam :
😁😁😁
2026-07-05 09:42:56
1
seyam0s
SM🚩 :
❤️❤️
2026-07-05 10:46:21
1
user73537190142521
♡♡মালয়েশিয়া লাভার হাবিবা♡♡ :
🥰🥰🥰
2026-07-05 10:02:02
2
user831121256
jahid Whitey 😎🤟🥱🇸🇦🇸🇦 :
🤟🤟🥱🥱🥱😎😎😎💸💸💸💴💴💴
2026-07-05 16:02:57
0
mdmonir93806
MdMonir সৌদি আরব ✈️🕋🤲🇸🇦👷 :
❤️❤️❤️
2026-07-05 14:30:35
0
md.yasin6916
Md Yasin :
🥰🥰🥰
2026-07-05 16:17:35
0
bipulislam572
R̸͂̀̈́ͅ .•´¯`•=..𝘽𝓲ᵖꪊ𝑙🥀🧸 :
🥰🥰🥰
2026-07-05 14:33:35
0
kawsar_vai20
🇧🇩╰_╯ "💎"ᴋꫝᴡꜱꫝʀ''💎"╰_╯🇸🇬 :
🥰🥰🥰
2026-07-05 16:16:03
0
rbromjan8
𝓡𝓸𝓶𝓳𝓪𝓷⚡🇸🇬 :
🥰🥰🥰
2026-07-05 14:44:39
0
mdmonir93806
MdMonir সৌদি আরব ✈️🕋🤲🇸🇦👷 :
💔💔💔
2026-07-05 14:30:32
0
mdmonir93806
MdMonir সৌদি আরব ✈️🕋🤲🇸🇦👷 :
🥰🥰🥰
2026-07-05 14:30:22
0
mdmonir93806
MdMonir সৌদি আরব ✈️🕋🤲🇸🇦👷 :
❤️❤️❤️
2026-07-05 14:30:20
0
taspiya8111
❤️💖🥀রাজা বিহীন রাজকন্যা 🥰💛 :
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2026-07-05 12:09:25
2
mdmonir93806
MdMonir সৌদি আরব ✈️🕋🤲🇸🇦👷 :
💔💔💔
2026-07-05 14:30:18
0
user1481104932033
🤭𝕄ℝ🤭 𝕄𝕀𝕁𝔸ℕ💞 𝕂ℍ𝔸ℕ❣️❣️ :
✌✌✌
2026-07-05 12:01:52
2
ariyanahmedtonmoy371
পাপিষ্ঠ_মুসাফির🍃🎭 :
🌸🌸🌸
2026-07-05 11:50:22
1
smmahedi244
{♥‿♥}sm mahedi hasan {♥‿♥}🇦🇷 :
🥰🥰🥰
2026-07-05 16:33:59
0
To see more videos from user @atarman_90, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Kisa hiki kilianza pale Adam alipopanga kuwaozesha mapacha wake kwa kubadilishana ili kizazi kiendelee.  Dada wa Qabil aliyekuwa amezaliwa naye alikuwa mzuri zaidi kuliko dada wa Habil, jambo lililomfanya Qabil ajazwe na wivu na kutaka kumuoa yeye mwenyewe. Ili kumaliza mgogoro huo, Allah alimwongoza Adam kuwaamuru wawili hao watoe sadaka. Atakayekubaliwa sadaka yake ndiye angekuwa kwenye haki. Qabil, aliyekuwa mkulima, alitoa sehemu ya mazao yake. Habil, aliyekuwa mchungaji, alitoa mnyama mnono bora kabisa.  Walipoweka sadaka zao, moto kutoka mbinguni ukashuka na kuiteketeza sadaka ya Habil, huku ya Qabil ikibaki. Hapo Qabil alijaa hasira na akamuambia ndugu yake kuwa atamuua.  Lakini Habil akamjibu kwa utulivu, akamkumbusha kuwa Allah hupokea kutoka kwa wachamungu, na hata akitaka kumuua, yeye hatamdhuru. Lakini wivu ulimtawala Qabil.  Siku moja alipomkuta Habil amelala karibu na malisho yake, akamuua.  Hilo likawa jinai ya kwanza kabisa duniani. Baada ya kumuua, Qabil hakujua afanye nini na mwili wa ndugu yake.  Akambeba kwa muda mrefu mpaka Allah akatuma kunguru wawili; mmoja akamuua mwenzake, kisha akachimba ardhi na kumzika.  Hapo Qabil akajifunza namna ya kumzika ndugu yake na akajuta. Kisa hiki kimetajwa katika Qur'an. ☪️Mafunzo kutoka katika kisa hiki: ✍️Ukweli wa Qur’an na ujumbe wa Mtume Muhammad (s.a.w). ✍️Allah hupokea amali kwa ikhlasi na uchamungu. ✍️Kheri na shari zimekuwepo tangu mwanzo wa mwanadamu. ✍️Husuda na wivu ni sifa mbaya zinazopofusha moyo. ✍️Majuto baada ya dhambi hayatoshi bila toba ya kweli. naomba unifollow
Kisa hiki kilianza pale Adam alipopanga kuwaozesha mapacha wake kwa kubadilishana ili kizazi kiendelee. Dada wa Qabil aliyekuwa amezaliwa naye alikuwa mzuri zaidi kuliko dada wa Habil, jambo lililomfanya Qabil ajazwe na wivu na kutaka kumuoa yeye mwenyewe. Ili kumaliza mgogoro huo, Allah alimwongoza Adam kuwaamuru wawili hao watoe sadaka. Atakayekubaliwa sadaka yake ndiye angekuwa kwenye haki. Qabil, aliyekuwa mkulima, alitoa sehemu ya mazao yake. Habil, aliyekuwa mchungaji, alitoa mnyama mnono bora kabisa. Walipoweka sadaka zao, moto kutoka mbinguni ukashuka na kuiteketeza sadaka ya Habil, huku ya Qabil ikibaki. Hapo Qabil alijaa hasira na akamuambia ndugu yake kuwa atamuua. Lakini Habil akamjibu kwa utulivu, akamkumbusha kuwa Allah hupokea kutoka kwa wachamungu, na hata akitaka kumuua, yeye hatamdhuru. Lakini wivu ulimtawala Qabil. Siku moja alipomkuta Habil amelala karibu na malisho yake, akamuua. Hilo likawa jinai ya kwanza kabisa duniani. Baada ya kumuua, Qabil hakujua afanye nini na mwili wa ndugu yake. Akambeba kwa muda mrefu mpaka Allah akatuma kunguru wawili; mmoja akamuua mwenzake, kisha akachimba ardhi na kumzika. Hapo Qabil akajifunza namna ya kumzika ndugu yake na akajuta. Kisa hiki kimetajwa katika Qur'an. ☪️Mafunzo kutoka katika kisa hiki: ✍️Ukweli wa Qur’an na ujumbe wa Mtume Muhammad (s.a.w). ✍️Allah hupokea amali kwa ikhlasi na uchamungu. ✍️Kheri na shari zimekuwepo tangu mwanzo wa mwanadamu. ✍️Husuda na wivu ni sifa mbaya zinazopofusha moyo. ✍️Majuto baada ya dhambi hayatoshi bila toba ya kweli. naomba unifollow

About