njia 3 za kuyatumia mazingira alotupatia mungu ,1.tusikubali mazingira yabadir mienendo ya Imani zetu ,3.mazingira yasitufanye tukae mbali na mungu,3. Tutumie mazingira Kwa ajir ya fursa .🙏🙏
2026-07-05 16:47:51
4
Abigail mom💋💋 :
Jina la wimbo please
2026-07-05 18:32:57
1
Editha ashery :
AMINÀ
2026-07-05 17:08:59
1
Sarah Bukuku :
huu wimbo ulinibariki siku ya mtihani wa darasa la saba nilikuwa naimba kimoyomoyo na sas ni po kidato Cha tatu nikiuwimba wimbo huu hofu yote inapotea mbarikiwe sana wanakwaya wimbo wenye nguvu amina
2026-07-05 20:26:41
1
Dogo Lwinga :
kuwa na amani na watu wote
2026-07-05 18:25:28
1
user8882271158200 :
mungu nisameh mbn kama nimesahau
2026-07-05 16:29:19
1
salomepambe :
SAUTI YENYE USHINDI. Marco12;42;52
2026-07-05 17:09:47
1
Tinah Obby Blessing :
nguvu ya shukrani
2026-07-05 15:53:49
1
mama nuwayllah 😍😍 :
kumtegemea mungu kwa kilakitu
2026-07-05 17:35:54
1
Baraka @ll :
kuwa wakili mwema
2026-07-05 11:31:17
1
Dory.01💞💞 :
kumtegemea mungu kwa kila kitu
2026-07-05 09:46:49
1
ndulaga🥰 :
tuombe mungu atupe macho ya rohon ilituweze kuona yaliyopo sirin
2026-07-05 15:19:35
1
esta udamwa :
kuishi kwa kuyatimiza mapenzi ya mungu na sio mapenzi yangu