shida mnafikiria nguvu ya Mungu ni miujiza, mnasahau nguvu ya Mungu inaweza patikana na neno la Hekima na ikageuza maisha ya mtu
2026-07-05 20:05:02
15
Joyce :
hilo kanisa unalolisema lina nguvu nyingi za mungu acha zako.
2026-07-05 22:31:38
8
laizare3 :
You have said nothing but the truth ubarikiwe
2026-07-06 07:11:52
1
𝕮𝖆𝖗𝖎𝖓𝖔_𝕳𝖔𝖒𝖊𝖟 :
Now I understand you, I questioned you before. Now you're right
2026-07-05 18:55:51
2
chambo10jr :
That is wisdom
2026-07-05 19:35:22
1
onca :
you're so good Mtumishi.
2026-07-05 19:25:00
1
Emmanuel Mwandu :
hallelujah hallelujah Utukufu Kwa Bwana Yesu.
2026-07-05 12:23:09
2
lil Swaag :
True say
2026-07-06 06:36:50
0
BINGWA WA KUKU AINA ZOTE :
aminaa
2026-07-05 12:00:31
1
paster mathayo sige songo :
Amen baba 🙏
2026-07-06 08:47:06
0
Majaliwa :
preach
2026-07-06 15:47:40
0
Tajir Mwanyonga :
Amen
2026-07-05 14:03:51
1
Flo :
Nguvu za MUNGU ndo zimewawezesha kununua magari
2026-07-05 18:18:14
5
Muisrael :
Hilo kanisa ni la Lutheran na lina nguvu za Mungu sana ndio maana unaona baraka zinaambatana na washrika wake. Nguvu na Upako kwa yeye anaeamini katika KRISTO YESU
2026-07-05 18:51:51
15
Jacques Dol :
upako tunao jamani ndio masna tuna Baraka mpaka za kiuchumi Mungu sio maskini
2026-07-05 13:12:04
7
moswaga_tz :
RC wenzangu tumsifu yesu kristo
2026-07-06 04:52:44
1
Jimmy Godlove :
comments zinaonyesha watu wamesikiliza sekunde mbili za kwanza wakaskip the rest😂😂😂
2026-07-06 03:47:04
2
#YESUnakupenda... :
njoo usali utajua kama nguvu zipo ama hakuna
2026-07-06 00:25:36
1
frankytiellosafarikenya :
kila kanisa lina utaratibu wake..hatuendi tu kwa utaratibu broo ni mungu..sawa..
2026-07-05 19:57:51
1
Mchungaji Raphael Christopher :
1Kor 14:40
2026-07-05 18:59:47
1
Tarimo🇹🇿 :
Hii ni kweli kabisa., walokole wengi tunaona UTARATIBU ni kutokua rohoni..,
2026-07-06 06:26:29
0
SULLESH CLOTHING LINE :
Umeonge ukweli mchungu
2026-07-06 11:50:15
0
wema medics :
halina nguvu ya Mungu kwa nini?
2026-07-06 07:41:37
0
damas ngottea :
Kanisa lisilo na nguvu ya Mungu How? Nguvu ya Mungu Ipo na utaratibu upo na unafuatwa
2026-07-06 11:01:25
0
Zende :
Ipo hivi kuna watu wenye uhitaji wa nguvu za Mungu na kuna watu wenye kuhitaji kuabudu tu ndo mana kulikuwa na Makuhani na upande mwngne Manabii ya nabii Eliya,Elisha na kulikuw na mitume wenye nguvu akina Petro nk na wkt akina Petro wanaponya watu huku upande mwingine makuhani walikuw wanawaongoza watu kuabudu sote tunajenga nyumba moja
2026-07-06 01:22:36
0
To see more videos from user @kabigumila, please go to the Tikwm
homepage.