@mstaafu_forum: nini maoni yako?

Charles Ligonja
Charles Ligonja
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 05 July 2026 13:11:50 GMT
22132
431
23
32

Music

Download

Comments

aryborn
user4921157175675 :
Siyo sahihi kwa umri huo anahitaji fund security kama UTT na si biashara zingine
2026-07-05 19:51:44
2
joseumachage
JCM :
brother
2026-07-08 18:09:40
0
stellafaraja607
stellafaraja607 :
Yeuwiii kachemka kabisa.
2026-07-07 18:06:44
0
zaina.nassoro4
Zaina Nassoro :
🙏♥️♥️♥️🙏Yuko sahihi
2026-07-10 09:54:44
0
petrokilas
Petrokilas :
yko sahihi
2026-07-05 15:10:54
2
frederick.iwato
Frederick Iwato :
Yuko sahihi
2026-07-07 07:31:49
0
adam.hr2
Adam HR 🇹🇿 :
yupo sawa
2026-07-05 16:14:56
0
manyengo70
bageni :
yuko sahihi
2026-07-05 20:42:35
0
philimonmwangomba
mwangomba :
kuanzisha kampun haiangalii umri bari ni namna ya kuendesha na mikakati kwa familia
2026-07-06 16:12:03
1
stephenanthony795
Stephen Anthony :
alikuw na ndoto japo amechelew kuitimizaa huenda yy haangalii pesa mezan anatak kutmizaaa alichokuwa anaotaa yupo saw ila sasa,hyo shule ni project inahtaj mda mpak iingiee kweny maslahii mwelekezenii
2026-07-05 20:54:30
1
michaelfelixngole
michaelfelixngole :
yupo sahihi sana ,ana watoto ambazo ajira kwao itakuwa ni shule.pia ni huduma katika jamii,umri huo ni kawaida sana,bado sana.Ngvu ni watenda kazi ,yaani walimu watakaoajiriwa.Yupo sahihi sana.Wanaomkatisha tamaa Wana fikra changa.wanafikiri kdg sana.Alikuwa na ndoto na lazima itimie.
2026-07-05 15:15:27
2
dee_treats_cakes
Dee_treats_cakes :
Bora angenunua bondi utt
2026-07-05 19:42:39
1
emmanuelmaro62
Maro :
Kwanza kabisa Ana challenge zifuatazo, 1. Ushindani 2. Mgeni kwenye field 3. Mtaji mdogo 4. Energy ndogo 5.Amekurupuka vibaya mno, kwa kawaida ni vigumu sana kuanzisha mradi na kuukuza at the same time unautegemea huo huo mradi ukupe mahitaji. Kwa kawaida mtu aliezeeka akiwa katika ajira bila kufanya kitu kingine mara nyingi hawezi kufanya na kusimamia kitu chake mwenyewe so hata hio shule aliyojenga haitoweza kuendelea
2026-07-05 16:22:07
1
muganyizi.leonard
Muganyizi Leonard :
yupo sahihi,kwa sababu ilikuwa ni ndoto yake.Hata akifeli kuendesha shule,atauza eneo na hayo majengo,na thamani itakuwa imeongezeka
2026-07-05 19:22:42
0
oliver.minja
Oliver Minja :
Amebugi
2026-07-06 18:19:48
0
ajumyta
Innallaaha ma'anaa :
hapana, hapo kaingia chaka
2026-07-10 19:39:33
0
liruka1966
Lilian-Ruga :
Kaingia chaka! Angenunua tu Bonds akala interest
2026-07-07 10:56:49
0
yao.com33
Yao Yao :
Watafaidi watoto
2026-07-06 11:42:08
1
user9161249206507
Rehema :
Amekurupuka
2026-07-09 05:42:30
0
johnodhiamboongom
Johnjohn :
amekurupuka.
2026-07-06 04:58:57
0
grace.swai0
Kachiri08 :
Amekurupuka
2026-07-11 03:04:12
0
ottonyakasagani
otto nyakasagani :
Yuko sahihi lakini aweke misingi sahihi ya kuendeleza kwa familia au wabia wake hiyo ni legacy sahihi ...hajakurupuka
2026-07-05 18:56:42
0
devotha.mwakyumba
Devotha Mwakyumba :
angeuza hilo eneo tu
2026-07-11 05:03:37
0
To see more videos from user @mstaafu_forum, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About