@talkboutitwithconradley: Kosa tulifanyalo tunapoomba. Umeshawahi kuhisi kama unasali sana na maombi yako hayafiki hata Buza? Hayapokelewi sehemu yoyote? Embu jaribu hili☝🏽anza kuwa na kusudi maalumu, usiwe na maombi "general". Hata mtoto akija kwako na mahitaji ya shule atakwambia "daftari limeisha, penseli zimeisha etc" Baada ya hapo anza kuishi kama umeshapokea hiyo baraka, kwani maombi hayajibu ombi lako..bali imani. SITAKUFUNDISHA KILA KITU! #prayers #lifelessons #faith #believer #sunday