@dunialeo_: Aliyekuwa kada wa CHADEMA, Charles Odero, amemtaka Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, kuepuka ushawishi wa makundi mbalimbali ambayo, kwa madai yake, hayana lengo la kufanikisha maridhiano ya kisiasa nchini. Akizungumza na waandishi wa habari, Odero alidai kuwa baadhi ya wanaharakati, wafanyabiashara wakubwa wa mafuta pamoja na makada wa CCM wanajaribu kumshawishi Heche kupinga ajenda ya mazungumzo na maridhiano ya kitaifa.#dunialeoUPDATES

DuniaLeo
DuniaLeo
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 05 July 2026 19:14:23 GMT
405
11
1
2

Music

Download

Comments

mchomesimon.mchom
MchomeSimon Mchome :
Kundi vp ww
2026-07-05 22:58:45
0
To see more videos from user @dunialeo_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About