@mwl.emilian.katub7: Wiki hii Ninakuombea Mungu akupe Mlango utakaobadirisha maisha yako. Kuna mlango unauhitaji kwenye maisha yako na huo mlango ukikufungukia lazima maisha yako yabadirike tu. Biblia inasema nimekupa mlango mkubwa na wakufaa sana mbele yako, Maana yake nimekufungulia mlango mkubwa na wakufaa sana mbele yako Kumbe Mungu anaweza kukupa mlango mkubwa na wakufaa sana, kumbe Mungu anaweza kukufungulia mlango mkubwa na wakufaa sana Wiki hii nimekuombea sana Mungu akupe huo mlango mkubwa na wakufaa sana katika jina la Yesu. Mlango ambao utafanya maisha yako, uchumi wako, Biashara yako iinuke Pokea huo mlango Wiki hii kwa jina la Yesu
Watu wa Mungu naomba video kama hii ningetarajia watu zaidi ya 10m wangekuwa wamaitizama nashangaa video ambazo hazina mafundisho muhimu ndo zinatrending Watu wa Mungu tufokasi na neno la Mungu maana yeye ndo Muweza wa yote ningetamani video kama hii ndani ya wiki moja iwe na comments zaidi ya 5m like zaidi ya 10m na kusher kwa watu wengi wapate uponyaji juu ya maneno haya nawapenda sana watu wa Mungu Mkapate uponyaji kupitia maneno haya Ameen❤️❤️💯🙏🙏
2026-07-06 08:52:39
12
Lihu Ada :
tuko pamoja baba mungu akutiye nguvu mutumishi wa bwana amen Amen amen Amen amen Amen amen.
2026-07-06 16:51:04
1
Peace Abesiga :
naamini mtoto wangu atapata KAZI kwa njia rahisi🙏
2026-07-06 04:45:29
9
chepngetichangeline79 :
Amen Amen Amen 🙏🏾
2026-07-06 11:04:51
2
de xhiv00🦋🦋 :
AMINA 🙏
2026-07-06 07:20:09
1
user4523146111457 :
Amen Amen Amen̈
2026-07-06 20:20:52
0
Kidungu Maria :
I PRAY THAT THE LORD OPEN DOORS FOR YOUR FAVOUR 🥰🌹🥰
Isa.22.22 I will give him the key to the house of David--the highest position in the royal court. He will open doors, and no one will be able to shut them; he will close doors, and no one will be able to open them. (NLT)
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
John.10.9 I am the Door; anyone who enters in through Me will be saved (will live). He will come in and he will go out [freely], and will find pasture. (AMP)
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Rev.3.7 "And to the angel of the church in Philadelphia write, "These things says He who is holy, He who is true, "He who has the key of David, He who opens and no one shuts, and shuts and no one opens": (NKJV)Rev.3.8 "I know your works. See, I have set before you an open door, and no one can shut it; for you have a little strength, have kept My word, and have not denied My name. (NKJV)🌹🌹🌹🥰🌹🥰
2026-07-06 10:14:47
1
estahamudi :
Amen napokea kwajina la yesu wanazaret @
2026-07-06 10:10:47
4
tina@ :
Mwenyezi Mungu unifanyie kicheko mm na familia yangu Amina🙏
2026-07-06 16:30:39
1
@Miss jee❤️🥰 :
eee Mungu naomba unifungulie milango ya binguni na madilisha ya mbinguni
2026-07-06 08:07:02
1
judithcarine :
amen amen
2026-07-06 06:52:08
1
Sally Lagat :
Ameen amen, Mungu afanye miujiza kwa biashara yangu katika jina la yesu