Me nawakumbusha tyu hospital kuna watu wanaumwa sana wengn hawana ata bill ya matibabu wanakosa aman ya moyo katik nasf zao wamepoteza Iman ya kuish katik hi Dunia wanaitaj faraja
2026-07-14 07:22:58
42
Marium Edwin :
ety naangalia lakini cjatamani izo ela jmn 😁😁
2026-07-14 14:06:16
4
gee 😘 :
ex wa uy dada kz anayo jmn
2026-07-14 19:59:53
12
MADAME DOTHY :
usiseme hatuna pesa,sema sina pesa😭
2026-07-13 20:55:02
36
VENCEAN BUHANZA :
#Basibana watu Wana hela bana Hali ngumu ninayo Mimi tu😊🙌
2026-07-06 10:28:03
39
kailat :
me ningeficha hata 20000 tu hapo
2026-07-15 10:35:30
1
cute leilah❤❤💞 :
iyo elf2 itakuwa nimetoa mimi😳😂
2026-07-14 08:39:24
7
kidoatz🌸🦋✨ :
Nani aje tukaanze zetu maisha katoro 🥺😂😂
2026-07-14 12:43:40
0
Rich jr🤑 :
asant Mungu ata hii pumzi ulionipa niutjiri tosha 🙏
2026-07-13 23:36:10
8
Rey joe :
asante mungu hata kwa hii pumzi ulionipa na kuniamsha salama
2026-07-14 05:14:19
12
mnyanjokha Jr :
Hawa ndo wanafanya serikali ituone watanzania ni matajiri
2026-07-14 08:15:06
6
vanesah🦋 :
iv mm niliolewa au nilienda utumwan
2026-07-14 18:22:13
1
🧚🏻♀️ :
Nadumisha usukuma on my way tu Mwanza😁
2026-07-07 09:15:43
18
Liverpool :
afu mnasema Kuna shida
2026-07-06 12:36:27
6
mch@jr2 :
jaman nilikua ninaumwa nilivyona hela nmepona iyo harus ilikua wap mm naweza kua chawa2🤣🤣🤣
2026-07-14 11:07:57
2
Rebby🌹🥰 :
Paul usipookota hapo milion 20 ntakuona 😂😂😂😂🙌
2026-07-14 10:03:30
2
$%Rozen$% :
one day yes kikubwa kupambana na kumshirikisha mungu kwa kila jambo
2026-07-14 12:51:48
1
cathney j charles :
waambieni ao matajili wanichangie ela 😥😥
2026-07-14 10:26:19
1
Agnes 🥰🥰 :
Duuh haya maisha me hata leo sijui nakula nn watu wanajaza matenga
2026-07-15 05:17:01
0
Aminah😛😛 :
duh ni mm tu ndo sina hela dunian apa😳😳
2026-07-14 20:10:56
0
To see more videos from user @mrpoul_brand, please go to the Tikwm
homepage.