@healthyfity1: 🚨 NANI MWINGINE ANAPITIA HALI KAMA HII...? •••••••••••••••••••••••••••••••• Kiungulia... Koo kuwaka au kuuma... Tindikali au chakula kupanda kooni... Kikohozi kisichoisha... Koo kuhisi kuna kitu kimekwama... Sauti kubadilika au kukauka... Harufu mbaya mdomoni... Ladha ya uchachu au uchungu mdomoni... Kichefuchefu... Gesi nyingi na tumbo kujaa... Kushiba haraka... Kifua kubana au kuwaka... Pumzi kubana kwa baadhi ya watu... Moyo kwenda kasi au kudunda kwa nguvu kwa baadhi ya watu... Maumivu ya mgongo, mabega au baadhi ya viungo kwa baadhi ya watu... Kufunga choo au choo kutokuwa cha kawaida... 👉 Hizi zinaweza kuwa dalili za Acid Reflux. •••••••••••••••••••••••••••••••• UNATAKA KUREKEBISHA MFUMO WAKO WA TUMBO NA KOO? Basi ni lazima kurejesha afya ya mfumo mzima wa mmeng'enyo wa chakula yaani kwa: 1️⃣ Kuweka sawa msawazo wa acid tumboni. 2️⃣ Kurekebisha valve inayotenganisha tumbo na koo. 3️⃣ Kutibu michubuko na vidonda tumboni na kooni. 4️⃣ Kusafisha mfumo mzima kutoka kooni hadi njia za choo. 5️⃣ Kuongeza msawazo wa bacteria wazuri tumboni. •••••••••••••••••••••••••••••••• JE, UKO TAYARI KUREKEBISHA MFUMO WAKO MZIMA WA CHAKULA? Piga simu au WhatsApp: +255.696.256.671 #acidreflux #digestivehealthclinic #sorethroat