@umasummitnest: Best shirt ever 👻 #funnyshirts #halloween #8647 #fyp #viral

UmaSummitNest
UmaSummitNest
Open In TikTok:
Region: US
Tuesday 07 July 2026 03:29:47 GMT
287
36
4
4

Music

Download

Comments

bernabee12
RCH :
now that is funny sh!t there 🤣🤣🤣!
2026-07-07 03:32:37
2
boxerdog9988
boxerdog9988 :
🤨
2026-07-07 03:47:02
0
To see more videos from user @umasummitnest, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

DHAMBI NDOGO NDOGO AMBAZO WATU WENGI HUZIDHARAU LAKINI HUHARIBU UHAUSIANO NA MUNGU Watu wengi hufikiri kwamba dhambi ni zile kubwa tu, lakini ukweli ni kwamba hata mambo madogo madogo tunayoyapuuza yanaweza kuathiri sana maisha yetu ya kiroho. 1. Kupuuza maombi ya kila siku. Maombi ni pumzi ya kiroho. Bila maombi, uhusiano na Mungu hudhoofika taratibu. 2. Kusema uongo mdogo mdogo. Uongo wowote huvunja uaminifu na moyo wa ukweli mbele za Mungu. 3. Maneno ya kuumiza wengine. Lugha yetu inaweza kujenga au kubomoa maisha ya watu wengine. 4. Kusengenya na kusambaza taarifa za wengine. Hii huleta mgawanyiko na huzuni katika jamii na moyo. 5. Kutokuwa na muda wa Neno la Mungu. Biblia ndiyo mwongozo wa maisha ya Mkristo, kuipuuza ni kujitenga na mwanga. 6. Kushindwa kushukuru. Moyo usio na shukrani hupoteza kuona baraka zilizopo tayari. 7. Wivu kwa baraka za wengine. Badala ya kushukuru kwa wengine, wivu huleta machungu na umbali wa kiroho. 8. Kujihesabia haki kuliko kutubu. Kukataa kukiri makosa hufunga mlango wa msamaha. 9. Kuishi maisha ya unafiki. Kuonekana mzuri mbele za watu lakini tofauti moyoni. 10. Kuweka Mungu pembeni kwenye maamuzi ya kila siku. Mungu anataka awe sehemu ya kila hatua ya maisha yetu. 📖 Yakobo 4:17
DHAMBI NDOGO NDOGO AMBAZO WATU WENGI HUZIDHARAU LAKINI HUHARIBU UHAUSIANO NA MUNGU Watu wengi hufikiri kwamba dhambi ni zile kubwa tu, lakini ukweli ni kwamba hata mambo madogo madogo tunayoyapuuza yanaweza kuathiri sana maisha yetu ya kiroho. 1. Kupuuza maombi ya kila siku. Maombi ni pumzi ya kiroho. Bila maombi, uhusiano na Mungu hudhoofika taratibu. 2. Kusema uongo mdogo mdogo. Uongo wowote huvunja uaminifu na moyo wa ukweli mbele za Mungu. 3. Maneno ya kuumiza wengine. Lugha yetu inaweza kujenga au kubomoa maisha ya watu wengine. 4. Kusengenya na kusambaza taarifa za wengine. Hii huleta mgawanyiko na huzuni katika jamii na moyo. 5. Kutokuwa na muda wa Neno la Mungu. Biblia ndiyo mwongozo wa maisha ya Mkristo, kuipuuza ni kujitenga na mwanga. 6. Kushindwa kushukuru. Moyo usio na shukrani hupoteza kuona baraka zilizopo tayari. 7. Wivu kwa baraka za wengine. Badala ya kushukuru kwa wengine, wivu huleta machungu na umbali wa kiroho. 8. Kujihesabia haki kuliko kutubu. Kukataa kukiri makosa hufunga mlango wa msamaha. 9. Kuishi maisha ya unafiki. Kuonekana mzuri mbele za watu lakini tofauti moyoni. 10. Kuweka Mungu pembeni kwenye maamuzi ya kila siku. Mungu anataka awe sehemu ya kila hatua ya maisha yetu. 📖 Yakobo 4:17 "Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi." Leo ni siku ya kujitathmini upya. Mungu hatoi hukumu ili kutuangamiza, bali hutuita turejee katika njia sahihi kwa upendo wake. 📚 Kitabu: Nguvu ya Mwanamke Muombaji Jifunze jinsi ya kuishi maisha ya kiroho yenye nguvu, maombi yenye matokeo na uhusiano wa karibu zaidi na Mungu. Soft Copy: Tsh 15,000 Hard Copy: Tsh 25,000 📞 Simu: 0752 683284 #Godisgood #MaishaYaKiroho #NenoLaMungu #TobaNaMaombi #FungaNaSala

About