kila la kheri itasaidia kuwa na umoja na utulivu zaidi katika taifa letu
itasaidia hadi zamira njema za raisi wa jamuhuri ya Muungano mama samia Suluu hassan kuonekana naana raisi samia ana nia njema sana katika taifa letu ila kwa sababu tume gubikwa na muhemko zamira yake njema huwa hatutaku kuizingatia act oyeeeee? taifa kwanza leo na kesho uu msemo act muna utekeleza kwa vitendo hongreni sana 🥰🥰🥰
2026-07-07 14:33:12
1
Hijaby🌸 :
ILA SIASA🙌🏻
2026-07-07 13:36:15
2
ACT WAZALENDO GROUP :
mambo moto moto
2026-07-07 05:00:16
1
user34314794782995 :
ccm hii mnatusongeza tu hapo 2030 ccm inaakili ya 2035
2026-07-07 17:02:55
0
Mr R :
Safi
2026-07-07 14:48:10
1
+-----------+=+×÷@ :
inshallah kher
2026-07-07 16:22:48
0
Hassan gago :
Hahahaha
2026-07-07 08:51:54
0
Ibrahim :
utapelii
2026-07-07 06:58:06
0
Feimas moally :
ishaullha kheri
2026-07-07 05:32:46
0
Salim Hamad :
ya gujuuu
2026-07-07 11:39:40
0
Swalhey Mudy :
omo alizani atapembejewa au hhhhhhh
2026-07-07 10:08:19
0
user3551060661824 :
yule mzee alisema nimemsahau jina lake mashudu
2026-07-07 07:39:05
0
Ibrahim :
2030 mutaridhiana tenaa nipo palee
2026-07-07 06:59:57
3
hahdhdhyeydd :
ccm hiihii au kuna ccm nyengine
2026-07-07 06:17:02
3
mullersbmullersb :
fursa za kazi kwa wazanzibar kwann mpaka uambatanishe na kadi ya CCM ili swala lishughulikiwe halipo sawa
2026-07-07 11:42:00
1
idharas :
mitano ten
2026-07-07 11:08:35
0
Omar Hamad :
mkweli Muaminifu Zanzibar Kwanza vyama baadae sawa
2026-07-08 11:39:44
0
Alyah Aby :
mm siamin hadi yafanyike kweli wallah nnaham mm
2026-07-07 14:04:41
0
Mr Mtu Kwetu :
katika cinema hii nani atakua zuzu hapo?
2026-07-07 18:23:32
0
mazrui :
Haya yatokee bara sasa
2026-07-07 19:19:56
0
YUSSUF HOGI :
Maneno haya SI mageni mjini labda kwa mgeni wa Jiji. 😁
2026-07-07 20:25:05
0
rumhy 29 :
jamhuli ya muungano
2026-07-08 14:28:06
0
user8816688698718 :
👍👍👍👍👍
2026-07-07 13:46:59
0
king 👑 badru :
💜💜💜
2026-07-07 18:38:21
0
To see more videos from user @act.wazalendo.group, please go to the Tikwm
homepage.