@uhondo.tv: Rais wa TAHLISO, Geofrey Kiliba, amesema anazungumza na Dkt. Samia Suluhu Hassan kama Rais wa Watanzania wote, akieleza kuwa ana imani kuwa ataendelea kuongoza nchi kwa amani kutokana na maombi ya vijana na mapenzi ya Mungu. Akizungumza na waandishi wa habari Julai 6, 2026, Kiliba amesema hakuna kundi, au watu wanaoweza kuzuia kile alichokitaja kuwa mpango wa Mungu juu ya uongozi wa Rais Samia. Aidha, amewataka Rais Samia kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kujiamini, akisisitiza kuwa vijana wengi wa Tanzania wanaendelea kuliombea Taifa na viongozi wake. Kiliba pia amependekeza vijana wa Tanzania waanzishe utaratibu wa kufunga na kuomba kila mwisho wa mwezi kwa ajili ya kuliombea Taifa pamoja na Rais, akisema hatua hiyo itachangia kuendelea kudumisha amani, umoja na maendeleo nchini. #UhondoTVUPDATES

Uhondo TV
Uhondo TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 07 July 2026 10:01:27 GMT
20991
287
39
13

Music

Download

Comments

jackson.mathias87
Jackson Mathias :
vijana kama hawa wanamchango mdogo sana kwenye taifa .Mungu gan unae mzungumzia mkuuu
2026-07-07 16:22:11
3
fatmsali653
Fatms Ali :
Bwana awe nawe
2026-07-07 18:34:34
1
mlugurudigitalsolutions
mlugurudigitalsolution.tz :
mmmhii
2026-07-07 19:52:35
0
aludomakori
Aludo Makori :
Hongereni huyo MUNGU anayemtegemea Samia nasi yetu macho
2026-07-07 16:16:11
3
hashimhamisi616
Hashim Hamisi :
kaz umepata
2026-07-07 18:24:08
1
user2928311534553
smile :
umejikologa
2026-07-07 12:22:28
2
france.joshua
France joshua :
Amina
2026-07-07 16:52:02
1
user61565909551732
user61565909551732 :
Amina Mungu awe pamoja na Rais wetu mama Samia, Asante vijana hayo ndo maneno ya kusema, Hongera sana Vijana tupo pamoja
2026-07-07 10:22:09
2
user1978837282223
Warouby24 :
weee kam nan
2026-07-07 19:36:58
0
rockgsimbajike
Rock g simbajike :
vijana kama hawa ndio wanaotakiwa Mungu akubariki sanaaaa endelea kuelewesha vijana amani ya nchi ni tunu
2026-07-07 18:31:41
1
yusuph.hereman
Yusuph Hereman :
hakika mungu hawedhi kujibu. duw io
2026-07-07 19:37:33
1
george.seluka
George seluka :
maombi hupokelewa kwa asiye na mawaa!
2026-07-07 19:20:59
0
armaz.com
armaz.com :
nikajua anaongea vitu vya msingi kumbe ..........
2026-07-07 18:08:21
1
user5651214577751
user5651214577751 :
uakika
2026-07-07 16:52:59
1
beasimba45kikosi
beasimba45kikosi :
duuuuuuu
2026-07-07 15:54:56
0
zookey09
zookey :
C2PD !
2026-07-07 17:21:33
0
rajabukoi
Rajabu Koi :
duuuuuuu
2026-07-07 13:16:22
0
user5651214577751
user5651214577751 :
aminakaka
2026-07-07 16:52:09
1
mwankenjajr
Mwankenja's :
amiin amiin amiin
2026-07-07 15:14:34
1
mayokajeremiah
Mayoka Jeremiah :
mmi cmo
2026-07-07 15:37:20
0
na22069
Na :
Ipo ck moja tu
2026-07-07 20:55:45
0
immisskinye0
user9707923226129 :
amina yarabbilalamyna
2026-07-07 15:53:23
1
abdulkadri.mbona5
Abdulkadri Mbona :
ongera
2026-07-07 15:51:57
1
juma.juma682
Juma Juma :
Hakika sisi wengine hatulali Kila hatua dua kwa mama samia
2026-07-07 15:48:56
1
kotapin_
Kotapin master :
Mama tunaye na tunatamba nae
2026-07-07 17:22:53
1
To see more videos from user @uhondo.tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About